Manyanza
JF-Expert Member
- Nov 4, 2010
- 16,464
- 35,629
Hoja za Freeman Mbowe na Wenje nilizozisikia mpaka sasa 👇👇👇
1. Lissu hakuwa na dola 10,000 tukamsaidia ili apelekwe hospital Nairobi aliposhambuliwa.
2. Kuna pesa zetu tunamdai tulimsaidia kwenye matibabu.
3. Nilimlipia tiketi za ndege kipindi anafanya harakati za kusaidia watu migodini.
4. Alikaa kwenye nyumba yangu Dodoma kipindi chote akiwa mbunge.
5. Nilimpa gari yangu
6. Mimi ndio nimemlea kwenye siasa
7. Lissu alirudi Tanzania kwa sababu ya maridhiano.
8. Lissu alipewa umakamu mwenyekiti kwa huruma ya Mbowe.
9. Mbowe ametoa milioni 250 kugharamia uchaguzi.
Ongezeeni mnazozifahamu zangu ni hizo
sinza pazuri
Molemo
Quinine
FUSO
Malaria 2
chiembe
milele amina
Ngongo
Ukistaajabu ya Musa…..
1. Lissu hakuwa na dola 10,000 tukamsaidia ili apelekwe hospital Nairobi aliposhambuliwa.
2. Kuna pesa zetu tunamdai tulimsaidia kwenye matibabu.
3. Nilimlipia tiketi za ndege kipindi anafanya harakati za kusaidia watu migodini.
4. Alikaa kwenye nyumba yangu Dodoma kipindi chote akiwa mbunge.
5. Nilimpa gari yangu
6. Mimi ndio nimemlea kwenye siasa
7. Lissu alirudi Tanzania kwa sababu ya maridhiano.
8. Lissu alipewa umakamu mwenyekiti kwa huruma ya Mbowe.
9. Mbowe ametoa milioni 250 kugharamia uchaguzi.
Ongezeeni mnazozifahamu zangu ni hizo
sinza pazuri
Molemo
Quinine
FUSO
Malaria 2
chiembe
milele amina
Ngongo
Ukistaajabu ya Musa…..