Hizi ndio kozi/taaluma za muhimu duniani

Kweli kabisa,sio unakuta libaba lizima limekomaa eti linasoma sociology,community development au ualimu,ujinga mtupu!

we hjui unachokiandika rud shule upate maarifa kwanza!
 
mtu yoyote anaweza akafundisha so EDUCATION sio muhimu mtu mwenye degree ya ENGINEERING anaweza kufundisha physics,chemistry na maths,mtu mwenye degree ya MEDICINE anaweza kufundisha chemistry na biology so degree ya EDUCATION sio ya muhimu
 
Hizi ndiyo kozi zenye soko duniani kwa sasa. Mwandishi kashindwa kujieleza vizuri tu.
 
Jipange mkuu hata military pia ni profesional so hao unawaona ni wa muhmu kwako wanaweza kufnya kaz bila ya maximum security Mwekundu big up-

mleta uzi amepooza ubungo thnk big b4 u lip!
 
Kweli kabisa,sio unakuta libaba lizima limekomaa eti linasoma sociology,community development au ualimu,ujinga mtupu!

sijui bila mwalimu wew ungekuaje kusoma na kuandika
 
Wakuu zifuatazo ni kozi za muhimu duniani hii ni kutokana na umuhimu wake ambazo ni 1.MEDICINE 2.ENGINEERING 3.LAW 4.NURSING 5.ECONOMICS 6.ACCOUNTS 7.VETERNARY MEDICINE 8.ARCHITECTURE

Unaijua METROLOGY(SCIENCE OF MEASUREMENT)?

Metrology is defined by the International Bureau of
Weights and Measures (BIPM) as "the science of
measurement, embracing both experimental and theoretical determinations at any level of uncertainty in any field of science and technology.
 
mtu yoyote anaweza akafundisha so EDUCATION sio muhimu mtu mwenye degree ya ENGINEERING anaweza kufundisha physics,chemistry na maths,mtu mwenye degree ya MEDICINE anaweza kufundisha chemistry na biology so degree ya EDUCATION sio ya muhimu

huyo mwenye degree alijuaje kusoma na kuandika na kuhesabu kama sio mwalimu?acheni kuwadharau waalimu...mwalimu ndio chanzo cha yote katika jamii...mi sio mwalim ila kamwe siwez kumdharau mtu anayesomea ualimu
 
hzi div 5 dah shida tupu education is about what you give soma upendavyo kwa faida ya familia yako
 

.
Kaka hupati
.
Daktari bila Daktari
Engeneer bila engeneer
.
Mwalimu anakaa wapi hapo?
 
Nadhan tunashindwa kuelewa mantiki ya hio thread..,unapozungumzia education ndani yake kuna matawi mbali mbali na hayo yaliotajwa hapo juu yameonekana kua ya msingi na muhimu kuliko mengine..,lakini chochote utakachojifunza kwa Faida ya jamii inaingia kwenye education(elimu/taaluma) kwa kua elimu ni mkusanyiko wa taaluma mbali mbali.
 
akili ya mtoa mada ndogo kama chembe ya haradani.yani haujaiweka EDUCATION hapo hv unafkri hao wengne hapo juu huwaga wanafundishwa na nani??
shika chini upesi... alaaa haraka viboko 6 vya makalio.pumbav taaanit..
 
mtu yoyote anaweza akafundisha so EDUCATION sio muhimu mtu mwenye degree ya ENGINEERING anaweza kufundisha physics,chemistry na maths,mtu mwenye degree ya MEDICINE anaweza kufundisha chemistry na biology so degree ya EDUCATION sio ya muhimu

hebu toa pumba hapa! pumbavuu
 
EDUCATION NDIYO MAMA YAO.yaliyotajwa kwenye hiyo threat ni matawi ya EDUCATION
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…