Hizi ndio nchi barani Afrika zenye idadi kubwa ya watoto ambao hawapo shuleni (Out Of School Children). Nchi namba 3 itakushangaza!

Hizi ndio nchi barani Afrika zenye idadi kubwa ya watoto ambao hawapo shuleni (Out Of School Children). Nchi namba 3 itakushangaza!

Mindyou

JF-Expert Member
Joined
Sep 2, 2024
Posts
1,869
Reaction score
4,877
Wakuu,

Hivi karibuni, Shirika la Umoja wa Mataifa UNESCO limetoa ripoti mpya inayoelezea kwa undani idadi ya watoto ambao wanastahili kuwepo shuleni lakini kwa sababu tofauti tofauti hawapo shuleni.

Soma pia: Ukatili unaofanyika kwa watoto wa shule binafsi ya EXPERANCIA (Sengerema)

Kulingana na ripoti ya Shirika la Umoja wa Mataifa la Elimu, Sayansi na Utamaduni (UNESCO), watoto na vijana milioni 244 wenye umri wa miaka 6 hadi 18 duniani kote bado hawajapata elimu, na takriban shule 14,300 zimefungwa katika nchi 24 za Afrika kufikia Juni 2024 kulingana na Baraza la Wakimbizi la Norway (NRC).

Ripoti hiyo imezitaja nchi kama Burkina Faso, the Democratic Republic of Congo, Cameroon, Chad, Nigeria na Niger kama nchi zinaozoogoza kwa kuwa na watoto wengi wasioenda shule huku umasikini ukitajwa kuwa ni sababu kubwa inayopelekea watoto kukosa kwenda shule.

And yes Tanzania pia ipo.

Kulingana na ripoti ya UNESCO hizi ndio nchi zinazoongoza kwa kuwa na watoto wengi wasioenda shule Afrika:

  • Nigeria – 18.18M
  • Ethiopia – 11.1M
  • Tanzania – 6.42M
  • DR Congo – 6.17M
  • Sudan – 5.6M
  • Niger – 5.5M
  • Uganda – 4.9M
  • Angola – 3.9M
  • Burkina Faso – 3.4M
  • Mali – 3.1M
Source: Business Insider Africa, Unesco

Kwa hiyo hapa Tanzania kuna watoto Milioni 6 hwaendi shule, hawa watoto huwa wanafanya nini huko mitaani kama hawaendi shule? Elimu si bure?
 
Wakuu,

Hivi karibuni, Shirika la Umoja wa Mataifa UNESCO limetoa ripoti mpya inayoelezea kwa undani idadi ya watoto ambao wanastahili kuwepo shuleni lakini kwa sababu tofauti tofauti hawapo shuleni.

Soma pia: Ukatili unaofanyika kwa watoto wa shule binafsi ya EXPERANCIA (Sengerema)

Kulingana na ripoti ya Shirika la Umoja wa Mataifa la Elimu, Sayansi na Utamaduni (UNESCO), watoto na vijana milioni 244 wenye umri wa miaka 6 hadi 18 duniani kote bado hawajapata elimu, na takriban shule 14,300 zimefungwa katika nchi 24 za Afrika kufikia Juni 2024 kulingana na Baraza la Wakimbizi la Norway (NRC).

Ripoti hiyo imezitaja nchi kama Burkina Faso, the Democratic Republic of Congo, Cameroon, Chad, Nigeria na Niger kama nchi zinaozoogoza kwa kuwa na watoto wengi wasioenda shule huku umasikini ukitajwa kuwa ni sababu kubwa inayopelekea watoto kukosa kwenda shule.

And yes Tanzania pia ipo.

Kulingana na ripoti ya UNESCO hizi ndio nchi zinazoongoza kwa kuwa na watoto wengi wasioenda shule Afrika:

  • Nigeria – 18.18M
  • Ethiopia – 11.1M
  • Tanzania – 6.42M
  • DR Congo – 6.17M
  • Sudan – 5.6M
  • Niger – 5.5M
  • Uganda – 4.9M
  • Angola – 3.9M
  • Burkina Faso – 3.4M
  • Mali – 3.1M
Source: Business Insider Africa, Unesco

Kwa hiyo hapa Tanzania kuna watoto Milioni 6 hwaendi shule, hawa watoto huwa wanafanya nini huko mitaani kama hawaendi shule? Elimu si bure?
Sipingi.

Mwezi wa kwanza watoto wataanza form one, shuleni wanaweza report wanafunzi 200, wakifunga mwezi wa 4, wanafunzi 10 hawarudi shuleni. Mpaka wanamaliza form four wanakuwa wanafunzi kuanzia 40-80.

Hii hasa ni kwa shule za vijijini hasa usukumani, sijajua kwa maeneo mengine.
 
Dsm pekee ukienda kwenye Makutano ya Barabara Idadi ya Watoto Omba Omba, Waosha Vioo, Mateja nk ni kubwa Mnoo.

Ukizunguka kwenye fukwe za Bahari ya Hindi tokea Mbweni Mpaka Kigamboni wamejaa. Soko la Samaki Ferry na Masoko ya Kkoo wamejaaa watoto ambao kwa kawaida wanatakiwa wawe shuleni lkn cha qjabu Viongozi wanapita na kuangalia pasipo kuchukua hatua.
 
Mikoa iliyoko pwani ya bahari ya Hindi.. utafiti ufanyike(au nao ni kinyume cha maadili kama ule 'maeneo yalikithiri kwa mapenzi ya jinsia moja Tz')
 
Wakuu,

Hivi karibuni, Shirika la Umoja wa Mataifa UNESCO limetoa ripoti mpya inayoelezea kwa undani idadi ya watoto ambao wanastahili kuwepo shuleni lakini kwa sababu tofauti tofauti hawapo shuleni.

Soma pia: Ukatili unaofanyika kwa watoto wa shule binafsi ya EXPERANCIA (Sengerema)

Kulingana na ripoti ya Shirika la Umoja wa Mataifa la Elimu, Sayansi na Utamaduni (UNESCO), watoto na vijana milioni 244 wenye umri wa miaka 6 hadi 18 duniani kote bado hawajapata elimu, na takriban shule 14,300 zimefungwa katika nchi 24 za Afrika kufikia Juni 2024 kulingana na Baraza la Wakimbizi la Norway (NRC).

Ripoti hiyo imezitaja nchi kama Burkina Faso, the Democratic Republic of Congo, Cameroon, Chad, Nigeria na Niger kama nchi zinaozoogoza kwa kuwa na watoto wengi wasioenda shule huku umasikini ukitajwa kuwa ni sababu kubwa inayopelekea watoto kukosa kwenda shule.

And yes Tanzania pia ipo.

Kulingana na ripoti ya UNESCO hizi ndio nchi zinazoongoza kwa kuwa na watoto wengi wasioenda shule Afrika:

  • Nigeria – 18.18M
  • Ethiopia – 11.1M
  • Tanzania – 6.42M
  • DR Congo – 6.17M
  • Sudan – 5.6M
  • Niger – 5.5M
  • Uganda – 4.9M
  • Angola – 3.9M
  • Burkina Faso – 3.4M
  • Mali – 3.1M
Source: Business Insider Africa, Unesco

Kwa hiyo hapa Tanzania kuna watoto Milioni 6 hwaendi shule, hawa watoto huwa wanafanya nini huko mitaani kama hawaendi shule? Elimu si bure?
Hakuna kinachoshangaza hapo ikiwa hata hao walioenda huko shule wamekuwa ni machawa tu kutwa kusifia kila kitu
 
Wakuu,

Hivi karibuni, Shirika la Umoja wa Mataifa UNESCO limetoa ripoti mpya inayoelezea kwa undani idadi ya watoto ambao wanastahili kuwepo shuleni lakini kwa sababu tofauti tofauti hawapo shuleni.

Soma pia: Ukatili unaofanyika kwa watoto wa shule binafsi ya EXPERANCIA (Sengerema)

Kulingana na ripoti ya Shirika la Umoja wa Mataifa la Elimu, Sayansi na Utamaduni (UNESCO), watoto na vijana milioni 244 wenye umri wa miaka 6 hadi 18 duniani kote bado hawajapata elimu, na takriban shule 14,300 zimefungwa katika nchi 24 za Afrika kufikia Juni 2024 kulingana na Baraza la Wakimbizi la Norway (NRC).

Ripoti hiyo imezitaja nchi kama Burkina Faso, the Democratic Republic of Congo, Cameroon, Chad, Nigeria na Niger kama nchi zinaozoogoza kwa kuwa na watoto wengi wasioenda shule huku umasikini ukitajwa kuwa ni sababu kubwa inayopelekea watoto kukosa kwenda shule.

And yes Tanzania pia ipo.

Kulingana na ripoti ya UNESCO hizi ndio nchi zinazoongoza kwa kuwa na watoto wengi wasioenda shule Afrika:

  • Nigeria – 18.18M
  • Ethiopia – 11.1M
  • Tanzania – 6.42M
  • DR Congo – 6.17M
  • Sudan – 5.6M
  • Niger – 5.5M
  • Uganda – 4.9M
  • Angola – 3.9M
  • Burkina Faso – 3.4M
  • Mali – 3.1M
Source: Business Insider Africa, Unesco

Kwa hiyo hapa Tanzania kuna watoto Milioni 6 hwaendi shule, hawa watoto huwa wanafanya nini huko mitaani kama hawaendi shule? Elimu si bure?
Hayo maswali wayajibu watu wa Maendeleo ya jamii,Ustawi wa jamii na NGOs zinazo-deal na watoto wakiwemo wa mitaani.Wapo pale kufanya nini hasa?
 
Wakuu,

Hivi karibuni, Shirika la Umoja wa Mataifa UNESCO limetoa ripoti mpya inayoelezea kwa undani idadi ya watoto ambao wanastahili kuwepo shuleni lakini kwa sababu tofauti tofauti hawapo shuleni.

Soma pia: Ukatili unaofanyika kwa watoto wa shule binafsi ya EXPERANCIA (Sengerema)

Kulingana na ripoti ya Shirika la Umoja wa Mataifa la Elimu, Sayansi na Utamaduni (UNESCO), watoto na vijana milioni 244 wenye umri wa miaka 6 hadi 18 duniani kote bado hawajapata elimu, na takriban shule 14,300 zimefungwa katika nchi 24 za Afrika kufikia Juni 2024 kulingana na Baraza la Wakimbizi la Norway (NRC).

Ripoti hiyo imezitaja nchi kama Burkina Faso, the Democratic Republic of Congo, Cameroon, Chad, Nigeria na Niger kama nchi zinaozoogoza kwa kuwa na watoto wengi wasioenda shule huku umasikini ukitajwa kuwa ni sababu kubwa inayopelekea watoto kukosa kwenda shule.

And yes Tanzania pia ipo.

Kulingana na ripoti ya UNESCO hizi ndio nchi zinazoongoza kwa kuwa na watoto wengi wasioenda shule Afrika:

  • Nigeria – 18.18M
  • Ethiopia – 11.1M
  • Tanzania – 6.42M
  • DR Congo – 6.17M
  • Sudan – 5.6M
  • Niger – 5.5M
  • Uganda – 4.9M
  • Angola – 3.9M
  • Burkina Faso – 3.4M
  • Mali – 3.1M
Source: Business Insider Africa, Unesco

Kwa hiyo hapa Tanzania kuna watoto Milioni 6 hwaendi shule, hawa watoto huwa wanafanya nini huko mitaani kama hawaendi shule? Elimu si bure?
Mmh..hizi data wanatoa wapi?
 
Back
Top Bottom