appoh
JF-Expert Member
- Mar 14, 2013
- 5,262
- 2,184
1.wasanii hawako smart
mavazi yao yanaonesha ni watu wa aina gani ukikutana nae kama humjui unaweza dhani ni mwizi wa simu mfano afande sele madee juma nature(mzee wa ndala) na nk
2.matusi kwenye tungo
ni kawaida kutumia lugha ya matusi na isipendeza kwenye nyimbo mfano madee kwenye history 'wale wana ni makuma '
3.kujipa sifa ambazo kiuhalisia hawana
hapa huongea vi2 ambavyo haviwezekani kabisa na kujipachika majina makubwa kama nduli idi amini hosama bin laden chinja chinja na nk mfano kuna wimbo wa msani mmoja jina si ujui utamsikia'mimi ndio said kubenea .mimi ndio dokta ulimboka
4.tungo za kukurupuka
hapa uongea vi2 ambavyo havina mashiko mfano roma'tanesco wakizima umeme hupitisha mzigo wa magendo 'wapi alipowaona na wanapitishaga wapi
5 .tungo za chuki
hupenda sana tungo za chuki ambazo hazina faida kwao mfano wanaweza kuanzisha beef na taarabu au rnb na kuanza kuimba nyimbo za madongo ambazo watu hawataki kuzisikia
mavazi yao yanaonesha ni watu wa aina gani ukikutana nae kama humjui unaweza dhani ni mwizi wa simu mfano afande sele madee juma nature(mzee wa ndala) na nk
2.matusi kwenye tungo
ni kawaida kutumia lugha ya matusi na isipendeza kwenye nyimbo mfano madee kwenye history 'wale wana ni makuma '
3.kujipa sifa ambazo kiuhalisia hawana
hapa huongea vi2 ambavyo haviwezekani kabisa na kujipachika majina makubwa kama nduli idi amini hosama bin laden chinja chinja na nk mfano kuna wimbo wa msani mmoja jina si ujui utamsikia'mimi ndio said kubenea .mimi ndio dokta ulimboka
4.tungo za kukurupuka
hapa uongea vi2 ambavyo havina mashiko mfano roma'tanesco wakizima umeme hupitisha mzigo wa magendo 'wapi alipowaona na wanapitishaga wapi
5 .tungo za chuki
hupenda sana tungo za chuki ambazo hazina faida kwao mfano wanaweza kuanzisha beef na taarabu au rnb na kuanza kuimba nyimbo za madongo ambazo watu hawataki kuzisikia