Opportunity Cost
JF-Expert Member
- Dec 10, 2020
- 9,034
- 6,913
Sasa kuna starehe ambayo haulipi pesa? Umemuelewa mtoa mada?Pombe ni starehe gan sasa !!? Ni ujinga tu wanawake pia waweke kwenue mkato coz hawapo specific for you bt fpr money
Weka pesa mbele apo fala ww
Vice versaUmeeleza vema.Lakini sisi wataalamu wa "kinyachusa" tunaomba utumie au urekebishe hapo kwenye matumizi ya "voluntary na involuntary" mkuu![emoji23][emoji23][emoji23]
mkuu ile nayo ni starehe lakini si kubwa kiasi wengi wanaihusuduUmetusahau rastafarians
Siku ukila ugali wa mtama ule mwekundu ndio utajua kunya sio starehe.Hakuna starehe Kama kunya mkuu, hizo ulizotaja hapo ni matatizo matupu
LikeSasa kuna starehe ambayo haulipi pesa? Umemuelewa mtoa mada?
Sio ni Ugali wa ulezi, ni noma.Siku ukila ugali wa mtama ule mwekundu ndio utajua kunya sio starehe.
Ha haa inakuaje mkuu hebu nisimulieSiku ukila ugali wa mtama ule mwekundu ndio utajua kunya sio starehe.
Hata wewe unatambua hilo ni bas tu hutaki kukubaliHiyo kwako mama
Unaongea Kama vile umeshawahi ishuhudia jinsia yangu. Mimi ni mwanaumeKwani wewe ni mwanaume? Nilivyoelewa ni kuwa mleta mada anaongelea starehe kubwa za wanaume, na sio starehe kubwa kwa wanaume na wanawake.
Mimi mwanaume mkuu, nitake radhiZinawahusu wanaume wewe subiri kukazwa na ukanywe
Starehe gharama! halafu hulazimishwi na usipoifanya haina madharaHata wewe unatambua hilo ni bas tu hutaki kukubali
@Demi Hili lipo wazi pia usijisumbue sana kuwaaminisha na wanajua ukweli.Hata wewe unatambua hilo ni bas tu hutaki kukubali
Una demu mkali, mmekunywa monde la kutosha, halafu mnaenda kugonga wali harage, kudadadadadadadadeki, utakojoa dagaaaAmetusahau kabisa sisi watawa.Awe "fea"!
Wakuu katika dunia hii, ukiwa na pesa kuna starehe kubwa mbili ambazo mwanaume kamili huwezi kwepa kujihusisha nazo eidha zote mbili kwa pamoja ama uchugue moja
Starehe hizi ni
1. POMBE
2. WANAWAKE
Nawasilisha
Ukinywa Pombe vizuri mpaka ukajinyea huoni kama Starehe hizo huwa zinaendana.Hakuna starehe Kama kunya mkuu, hizo ulizotaja hapo ni matatizo matupu
Mnavyokuwa wapuuzi mnalishana kwa madaha!Lazima mtubu kama Jiwe alivyoambiwaga na Kakobe😂😂😂😂Una demu mkali, mmekunywa monde la kutosha, halafu mnaenda kugonga wali harage, kudadadadadadadadeki, utakojoa dagaaa