Ha haaa basi sawaaaKama sisi ambao hupendelea kunywea karibu na Swimming pool ukihisi starehe zimefululiza unadive hapo vipi?🤨
ulushawahi kunywa ukalewa ukajinyeee?Ndio raha ya Starehe ya Pombe inaitwa Buy one get one for free unanunua Pombe halafu unapata starehe ya kujinyea for free..
Sio KweliWakuu katika dunia hii, ukiwa na pesa kuna starehe kubwa mbili ambazo mwanaume kamili huwezi kwepa kujihusisha nazo eidha zote mbili kwa pamoja ama uchugue moja
Starehe hizi ni
1. POMBE
2. WANAWAKE
Nawasilisha
Kuna mdau amesema kunya ndio starehe kuliko hizo ulizozitaja sasa mimi nikawa namuweka sawa.ulushawahi kunywa ukalewa ukajinyeee?
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Anatuzingua huyu[emoji3]
Mimi uloziWakuu katika dunia hii, ukiwa na pesa kuna starehe kubwa mbili ambazo mwanaume kamili huwezi kwepa kujihusisha nazo eidha zote mbili kwa pamoja ama uchugue moja
Starehe hizi ni
1. POMBE
2. WANAWAKE
Nawasilisha
Duh....[emoji39][emoji39][emoji39][emoji39]Hakuna starehe Kama kunya mkuu, hizo ulizotaja hapo ni matatizo matupu
Hahahahaa, daahhHakuna starehe Kama kunya mkuu, hizo ulizotaja hapo ni matatizo matupu
Hahahahaaa, umenikumbusha mbali sana.Siku ukila ugali wa mtama ule mwekundu ndio utajua kunya sio starehe.
[emoji1751][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Hahahahaaa, umenikumbusha mbali sana.
Ugali wa dobisi(mtama mwekundu) ni noma sana, ukila, wakati wa kukata gogo ukiwadia lazima uwe egemeo la kukuwezesha kukata gogo, lasivyo shughuli itakwama
ulishawah kupata ugonjwa wa kuganda kwa choo???,Hakuna starehe Kama kunya mkuu, hizo ulizotaja hapo ni matatizo matupu
Ww ndio fala kabisq sisi hapa tunaangalia source of starehe km ukianza hoja zq namna basi hata hao wanawale toa andika kusex na hata mwingine atakuja hoja kusex sio starehe starehe ni kukojoawe fala Pesa zinastarehe gani
matumizi ndio starehe
uko sahihi mkuuMaana ya Starehe ni vitu vya kukuflahisha ambavyo sio vya lazima.
Kunya ni wanaita voluntary yaani mambo ambayo umepangiwa na muumba wako kama kulala usingizi au kufa.
Starehe ni involuntary yaani ni maamuzi yako kufanya au kuacha. Mtoa mada yuko sahihi starehe ni
1. Pombe
2. Mahusiano ya mwamke au mwanamme.
Mambo ya Kula, Kulala,Kuoga, Kupumzika, Kujamba, Kunya ni ya tabia za viumbe hai. Sio Starehe. Sekondari waliitaga characteristics of living organisms.