Hizi ndizo maana za tatoo walizochora baadhi ya wasanii Tanzania

Tatoo za matone ya machozi inahusiana na idadi ya watu uliowatoa roho.
Kama mtu kachoro tone mbili basi ina maana kaua wawili.

Acha umbea kojoa ukalale


Sent from my iPhone using JamiiForums.🔩🔨
 
Hawa vijana wa kiislam kuiga mambo yasiyoendana na dini utaingiaje msikitini na tatoo ujana maji ya moto wewe diamond
 
Maana yake n kuonesha majonz kwa watu wao muhim waliotangulia mbele za haki,,,,, wewe nae unakuja na yako ya kiwali wali vileee


Sent from my iPhone using JamiiForums.🔩🔨
 
mkuu upo global nn? 9ce
 
Afu ungejua wengne tunatumia cmu!siyo lazma u-quote vyote..ebu jifunze ku-edit!alah!
 
hii lazima Shigongo ai_paste kwenye gazeti lake..
 
Afu ungejua wengne tunatumia cmu!siyo lazma u-quote vyote..ebu jifunze ku-edit!alah!
kausheni basi ndo hadi mniandameeeee..kisa kuquote hyo thread mnapata cha kubonga..mmmmbbrraaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…