Hizi ndizo ndoa zetu wanaJF?

Aliekuambia kuoa ndio mwisho wa kula hotelini nani? Na umejuaje km hawana matatizo ndani ya mahusiano yao?
 
Ni nani huyo? Lini alifanya hivyo? Wapi na kwa nani? Sema tumchape...!
 
Mambo ya ndoa magumu kuelewa..
Tunza ndoa yako ya wengine usiingilie..
 
Wewe ni HE au SHE?, umeoa/olewa?!. Ukiona baba anamucha mwenza kitandani na kwenda kwa wajasiliamali ujue huyu aliyeachwa ndani is a problem too.

sikubaliani na wewe hata kidogo gama wanaume wamekuwa na tamaa sana hata wawe na kitu kizuri wapii na hata wangekuwa na akili badala ya kukaa na kutafuta suluhu ndani anaendakutafuta malaya .so huwa wanaruka mkojo na kukanyaga mavi
 

nani kakwambia mungu anaruhusu umalaya shauri yako
 

yaaap ukweli mtupu kabisa only God is the solution to this problem hofu ya mungu hubadili hata yasiyowezekana kubadilika ur right budy
 
Tumwombe Mungu atuepushe na mambo mabaya. Na kama mtu hajaoa haruhusiwi kuchangia hii mada make haimhusu, asubiri mpaka atakapooa.
 
[QUOTE
=Elungata;2591935]aaha..ndoa kitu gani bana...upuuzi mtupu peoples are supposed to be free from flooshness called marriage[/QUOTE]


nadhani waombe radhi waliofunga ndoa. Huwezi kuwatukana watu kwamba ndoa ujinga! sidhani una akili sawa
 
mtoa mada ameweka shida yake hapa jamvini ili tumpe ushauri na maoni yetu, ninachoshindwa kuelewa, ni kwa nini badala ya kumsadiia tunajibu kwa namna ya kudhihaki?
Ninaungana na wengi waliosema kuwa suala la ndoa ni mtambuka kwa maana kwamba wengi hawajui. Wengine hudhani ndoa umuhimu wake ni tendo la ndoa, wengine watoto na wengine kula, kuvaa, kuishi vema na mambo kama hayo.
kwa msaada wa wengi, kwa mara nyingine na bila kuchoka, nawaomba mkitafute kitabu kiitwacho NDOA YANGU, NINGEJUA popote katika maduka ya vitabu, mtajua sababu ya watu wengi wanaolia leo ni ipi na kipi cha kufanya
 
Daa!!!!ndoa!!!!!!!!!!si rahisi kuisemea kwa kulaumu kama unavyosema,tena kwa kulaumu wanaume kwani hakuna wanawake wanaofanya hivyo???wewe ndio umeileta mada hii twambie ulifanya nini baada ya kuwaona/kumwona kwenye hizo sehemu uliwapa ushauri gani??mimi nimetanguliza kusema sio rahisi kihivyo maana wapo pia wanaolipiza visasi baada ya kupata taarifa za uhakika kuwa wake zao wana wanaume nje ya ndoa na wengine wamewafumania badala ya kuendesha kesi huamua kulipiza ili kumkomoa huyo mwanamke.Kwa mtu aliyepata masaibu hayo mara nyingi hawashauriki,bora wewe uliyewaona kwenye madangulo na wale wanaoishia na wapenzi wao wa nje ya ndoa kwenye mahoteli utawajuaje si nao wafanya uasherati?????kuna jirani yangu mmoja aliamua kufanya kama unavyoshauri aliishia kuambiwa ''wewe unatembea na mke wangu taarifa hizo ninazo''Jirani aliondoka kichwa chini.Yaliyomo ndani ya moyo wa mtu huwezi kuyatambua anasema hivi na anatenda vingine.
 
Pole saana ndugu yangu hakika inakera, maana huyu sio kwamba anapepo la ngono yeye ni pepo hati. watu wa haina hiyo wanahitaji maombi ya nguvu
 
bado sijaoa lakini hili suala linanikera sana, lakini mimekuelewa sana mungu akuongezee busara
 

watu wenye wivu mara nyingi ni mahawara, inawezekana wewe ni mmoja wao.
 
Dogo unajua unaongelea nini hapa....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…