Hizi ndizo rekodi ambazo ni ngumu sana kuzivunja

Hance Mtanashati

JF-Expert Member
Joined
Sep 7, 2016
Posts
20,137
Reaction score
26,189
Wakati tukisubiri kwa hamu mpambano wa kukata na shoka kati ya Deontay Wilder na Tyson Furry utakaofanyika February 22 katika ukumbi Wa MGM Grand Arena, tutazame rekodi zilizowekwa na mabondia mbalimbali ambazo ni vigumu sana kuzivunja.

Wapenzi wa boxing tunamsubiri kwa hamu Floyd Mayweather mwaka huu tuone atapanda ulingoni na nani.

Miongoni mwa mabondia ambao wameonesha nia ya kupambana na Floyd ni pamoja na Terence Crawford na Manny Pacquiao japo Floyd alihitaji zaidi pambano na Khabib, Conor Macgregory au Pacquiao.

 
Kuto kuwepo kwa Ayan man Michael Tyson hiyo list ni batil


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…