chizcom
JF-Expert Member
- Jul 31, 2016
- 8,680
- 18,035
Kipindi cha zamani kushuka 2000 kila jumamosi au siku za ijumaa popote upitapo lazima ukute sheree ambayo ni ndoa.
Ilikuwa ni fahali na heshima kubwa unaposikia au kuona mtu kaoa au kaolewa. Hata kunapotokea vikao au maongezi kama ujawa sehemu hii uwezi kuruhusiwa.
Jambo lilo nileta hapa kueleza haya baada ya kuona mtaani kwetu tena uswahilini karibia watoto nilio waona wanakuwa wote wamezalishwa na kuzaa yani nje ya ndoa.
Sababu zinazo pelekea haya
Utandawazi
Utandawazi umeharibu malezi ya uzao mwingi na kujikuta maadili kama ya zamani kupotea na watu kuishi wanavo jua wao.
Malezi na makuzi
Kusema kweli wazazi wa sasa hivi ni kama wanakamilisha tu yao sio wale wa zamani .hili linapelekea watoto kuwa na mambo ya ajabu.
Maisha na kipato
Sehemu kubwa vijana ujikuta wameingia kwenye mapenzi au kuzaa bila ndoa au tamaa zinazopelekea watoto wasio kwenye ndoa.kwa sababu ya mwenendo wa maisha na pesa
Hizi ndizo sababu zangu
Ilikuwa ni fahali na heshima kubwa unaposikia au kuona mtu kaoa au kaolewa. Hata kunapotokea vikao au maongezi kama ujawa sehemu hii uwezi kuruhusiwa.
Jambo lilo nileta hapa kueleza haya baada ya kuona mtaani kwetu tena uswahilini karibia watoto nilio waona wanakuwa wote wamezalishwa na kuzaa yani nje ya ndoa.
Sababu zinazo pelekea haya
Utandawazi
Utandawazi umeharibu malezi ya uzao mwingi na kujikuta maadili kama ya zamani kupotea na watu kuishi wanavo jua wao.
Malezi na makuzi
Kusema kweli wazazi wa sasa hivi ni kama wanakamilisha tu yao sio wale wa zamani .hili linapelekea watoto kuwa na mambo ya ajabu.
Maisha na kipato
Sehemu kubwa vijana ujikuta wameingia kwenye mapenzi au kuzaa bila ndoa au tamaa zinazopelekea watoto wasio kwenye ndoa.kwa sababu ya mwenendo wa maisha na pesa
Hizi ndizo sababu zangu