Hizi ndizo video 16 za wasanii wa Bongo zilizotazamwa zaidi kwenye Youtube mwaka 2016

Nilitamani nimuite Nifah hapa aje atoe maoni yake.. Ila nashindwa! Daaaahh mda mwingine mpaka najilaumu kumpa likizo ya kujadili mambo ya teams hahahahaha

Ila WCB tuko level nyingine aiseeee [emoji123]
Na bado,hadi utaniomba mwenyewe nirudi
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Ligi ni raha sana my love,hasa wabishani wanaposhusha facts nzitonzito...
 
Na bado,hadi utaniomba mwenyewe nirudi
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Ligi ni raha sana my love,hasa wabishani wanaposhusha facts nzitonzito...
Mpaka nimekuwa mzito yani kuchangia hizi mada za teams [emoji23] [emoji23]

Daaaahh najilaumu kiduchu kukupa likizo but pumzika pumzika kwanza [emoji23] [emoji23]
 
Kama ameweka saut sol ft alikiba unconditional bae sijajua kwanini hakuiweka jah prayzah ft Diamond - watora mari ina viewers zaid ya Million 3
 
Halafu na nyie bana, sijui mmesomea shule ya kata gani. Time ni factor kubwa sana. Harmonize ft Diamond kwa mwezi ana viewer M1, kawa namba 2. Darasa kwa mwezi ana viewers M2 kawa wa 14. Halafu mnasema mmetuandalia, mmeandaa.....au mmekurupuka!
Mkuu wasamehe tatizo ni ushabiki mandazi na mambo ya uteam............hili litafanya tusiwaone wasanii wazuri
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…