Hizi ndoa zina mambo sikia kwa wenzio. Kabla yakuingia fikiria kwanza

Hizi ndoa zina mambo sikia kwa wenzio. Kabla yakuingia fikiria kwanza

Pdidy

JF-Expert Member
Joined
Nov 22, 2007
Posts
57,951
Reaction score
32,619
Wapendwa nawatisha la hasha nawaweka haya kukusaidia wewe unaekaribia kuoa ndoa ni taasisi kama taasisi zingine unapoingia jifunze kwanza kukoje je faida na hasara ni zipi

Kwanza nitaweza kuvumilia ama lah

Natoka kikao kimoja cha wanandoa kwa mjumbe bahati n mjumbe msaidizi na niko kwenye kamati ya usuluhishi.

Hawa wapendwa wana ghorofa..wana nyumba za kupanga kama 13 eneo nilipo

Naona kimeumana mke anataka talaka mume anaomba wasuluhishwe kwanza yani mpaka naondoka nimemwachia zigo mjumbe nawaza kwanini mwanamke anakomaa na talaka.

Huyu dada ni mchaga mpaka namliilia dada nina watoto wanne utawapeleka wapi akajibu kwani walitokea wapi fah na ninaheshimiana nao kweli

Kesho nitaulizia kilochojiri maana mmh..anawaona anaziona na hizi ndoa zetu

Wana maduka ya nguo sore za magari huko kariakoo na tegeta nawaza tu. Na we endelea kuwaza ndio uingie
 
uemandika haraka sana

anyways ngoja wenye ndoa waje wakujibu
 
Mwanaume a naomba usuluhishi kwa hofu ya Kumpoteza kutajiri au anamaanisha... 😁 😁
Wengi wanataka suluhu si kwa mapenzi Bali kulinda walichochuma pamoja... Ndio maana MI nashauri prenup zuweko bongo, muoane kwa upendo upendo kama hakuna basi Bena ulichokuja nacho endelea na maisha... Kukaa ktk ndoa kisa kuogopa mali kugawana ni uchawi kama uchawi mwingine tu!!
 
Wapendwa nawatisha la hasha nawaweka haya kukusaidia wewe unaekaribia kuoa ndoa n taasisi kama taasisi zingine unapoingia jofunze kwa za kukoje je faida na hasara ni zipi

Kwanza nitaweza kuvumilia ama lah

Natoka kikao kimoja cha wanandoa kwa mjumbe bahati n mjumbe msaidizi na niko kwenye kamati ya usuluhishi.

Hawa wapendwa wana gorofa..waanyumba za kupanga kama 13 eneo nilipo

Naona kimeumana mke anataka talaka mume anaomba wasuluhishwe kwanza yani mpaka naondoka nimemwachia zigo mjumbe nawaza kwanini mwanamke anakomaa na talaka.

Huyu dada ni mchaga mpaka namliilia dada nina watoto wanne utawapeleka wapi akajibu kwani walitokea wapi fah na ninaheshimiana nao kweli

Kesho ntaulizia kilochojiri maana mmh..anawaona anaziona na hizi ndoa zetu

Wana maduka ya nguo sore za magari huko kariakoo na tegeta nawaza tu. Na we endelea kuwaza ndio uingie
Mambo huwa ni mengi kwenye ndoaa, pia kumbukeni uchawi wa kufarakanishwa upoo
 
Back
Top Bottom