Simple majority. Nakumbuka niliota siku moja niliota ndoto nzuri kuhusu chadema. Nitaibandika tena mapema nov. 1
Hatimaye imethibitika kuwa tafiti zilizofanyika ni za kweli kuwa Dr.W.P.SLAA anatarajia kuibuka mshindi kwa zaidi ya 60% na ndiyo maana leo tena tumesikia chombo cha juu kabisa katika ulinzi wa nchi kikitoa angalizo kwa vyama kuwa lazima vikubalieni na matokeo yanayotarajiwa KUCHAKACHULIWA mapema baada ya wapendwa wapigakura kutenda haki yao.
Nawasilisha
pole ccm kwa heri ya kuonana
Mpaka wizi ufanyike labda, vinginevyo, Dr (siyo Dk) atachukua dola
Labda kwa wabunge wachache na madiwani huko ndio mta pata pata ila wengi watakuwa CCM bungeni na wachache chadema ila RAIS ni JK kaujue hilo
Si mmezoea kuiba kura? Mmeibiana hata kura zenu za maoni. SAFARI HII HAMUIBI TENA MAANA WEZI WOTE WAMEISHAWAKIMBIA KWA KUWA HAMKUWALIPA kitakachotokea kitawashangaza. 65% YAWATAZANIA NI MASIKINI NA HAMTAPATA KURA ZAO TENA.
Labda kwa wabunge wachache na madiwani huko ndio mta pata pata ila wengi watakuwa CCM bungeni na wachache chadema ila RAIS ni JK kaujue hilo
mwehu hajitambui
Labda kwa wabunge wachache na madiwani huko ndio mta pata pata ila wengi watakuwa CCM bungeni na wachache chadema ila RAIS ni JK kaujue hilo
LMg, sikubahatika kuisikia hiyo taarifa. Waweza kutuelewesha hiyo taarifa imetolewa na nani (hicho chombo cha juu cha ulinzi )
Chanzo cha habari ..?!
Si mmezoea kuiba kura? Mmeibiana hata kura zenu za maoni. SAFARI HII HAMUIBI TENA MAANA WEZI WOTE WAMEISHAWAKIMBIA KWA KUWA HAMKUWALIPA kitakachotokea kitawashangaza. 65% YAWATAZANIA NI MASIKINI NA HAMTAPATA KURA ZAO TENA.
NJIWA Fm.Chanzo cha habari ..?!
Mpaka wizi ufanyike labda, vinginevyo, Dr (siyo Dk) atachukua dola
Wingi wa mashabiki kwenye mikutano haimaanishi kitu, from past experience wengi wao hawapigi kura. Ikifika siku ya uchaguzi ohoo wako kwenye mihangaiko yao ya maisha.
LMg, sikubahatika kuisikia hiyo taarifa. Waweza kutuelewesha hiyo taarifa imetolewa na nani (hicho chombo cha juu cha ulinzi )