Hizi ni dalili za mtoto wa kiume?

Hilo dume 85% hata mi ilikuwa hivo hivo ila cha moto sina hamu mpaka mdogo wangu akasema namdekeza wife.
 
hongera ata kama ni wakike uwe karibu na mama kijacho.
 
mkuu bila shaka wife alijifungua salama haya leta mrejesho sasa alikuja wa jinsia gani
 
Wiki 9 mbona vipimo vinaonyesha bila tatizo? Nenda kwenye ultrasound utapata majibu tu,
 
Mkuu kama kuna kitu nachokushauri na si weye tu ila na wengine humu; Kamwe usimwonyeshe mkeo kuwa unatamani mtoto flan, HAKIKA; ukiterereka kidogo tu, ata-cheat. Ili tu umpate unaye mtaka. Wamama wengi wameruka fence kwa sababu ya maneno ya waume zao. Atii, This tyme, nataka dume. Jinsia kwa mwanadamu ni mume huwezesha. Mama hana uwezo wa kuleta jinsia.
 
Alaa, basi Nakumbuka mtoto wa ndugu yangu ilikuwa ya miezi 3 tu,walimwambia ni mtoto gani, huenda technology tofauti, poa, loveissweet
Labda inategemea ni wapi pia.. Au insurance huwa don't want to spend more that's why huwa wanawaambiaga wamama hivyo.. I don't know but i have seen people wanaambiwa hivi from OBGYN doctor .. Insurance companies wanatu limit na vingi to the point wanawafanya hata Some Doctors to lie a lot kwa patients.. Thanks..
 
 
H
Mkuu Adilu tunaomba mrejesho basi, ulipata jinsia gani ili na wengine wajifunze
Ha! Ni wa kike na ameshaanza shule! Yaani mpaka nilisahau km nilileta hii thread
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…