miriam 111
Senior Member
- Aug 25, 2018
- 100
- 77
Aah pole mkuu ila kuna dawa ambazo unaweza kupewa kuzuia maambukizi baada ya unsafe.hufanya kazi ndan ya masaa 72 baada ya unsafe sex Ila kwa kesi yako nahisi umechelewa masaaWasalaam..
Usiku kama 3 niliweka bandiko kuwa nilitembea na binti muathirika HIV+ kwa Kutumia KINGA na nilienda kupima wiki 3 mbele nikaambiwa Niko salama (NEGATIVE)
Nimekuwa na Mambo haya yakunitatiza..
1-Maumivu ya Kichwa haswa kisogoni, Pia maumivu nikikitikisa kichwa
2-Maumivu ya shingo nikiigeuza au kuinama mbele
3-Maumivu ya Koo kama nimekabwa na kitu/kukaza misuli (Huwa nasumbuliwa na Tonsils)
4- Uchovu
Wakuu Niko njia panda hapa je hizi ni dalili za stress (tokana na yoga wa UKIMWI) au Dalili za HIV
Ushaur wangu!; kula vizuri ,jichanganye na watu kuondoa stress, jiweke busy na kazi zako then kachek afya yako baada ya siku 90 (miezi mitatu)
Usiwe na shaka kila kitu kitakuwa sawa