Hizi ni faida 10 za kuwa Single ongezea zako

Hizi ni faida 10 za kuwa Single ongezea zako

Labani og

JF-Expert Member
Joined
Sep 15, 2020
Posts
19,637
Reaction score
29,473
_Pesa zako unazotafuta ukipata unakula pekeako without mizinga
_Ata ukidondosha hela ukirudi unaikutaa
_Hutoi neti kila siku
Ukichoka huogi
_Ndoo ya maji ya kunywa ukiamua unaogea
_Kujifuta Maji na pazia baada ya kuoga
_Free kuwa na kitambi, hakuna wa kukwamba upunguze tumbo.

Ongezea naww .....wale Mashabiki wa Simba mtuache kidogo kimbieni kama kasongo ( nguruwe pori)
1731038647175.jpg
 
_Pesa zako unazotafuta ukipata unakula pekeako without mizinga
_Ata ukidondosha hela ukirudi unaikutaa
_Hutoi neti kila siku
Ukichoka huogi
_Ndoo ya maji ya kunywa ukiamua unaogea
_Kujifuta Maji na pazia baada ya kuoga
_Free kuwa na kitambi, hakuna wa kukwamba upunguze tumbo.

Ongezea naww .....wale Mashabiki wa Simba mtuache kidogo kimbieni kama kasongo ( nguruwe pori)View attachment 3146659
Mbona wanyakyusa hatuko hivo, kwa nini ule pesa zako mwenyewe. Huta enjoy
 
_Pesa zako unazotafuta ukipata unakula pekeako without mizinga
_Ata ukidondosha hela ukirudi unaikutaa
_Hutoi neti kila siku
Ukichoka huogi
_Ndoo ya maji ya kunywa ukiamua unaogea
_Kujifuta Maji na pazia baada ya kuoga
_Free kuwa na kitambi, hakuna wa kukwamba upunguze tumbo.

Ongezea naww .....wale Mashabiki wa Simba mtuache kidogo kimbieni kama kasongo ( nguruwe pori)View attachment 3146659
Ukiumwa unamtafuta msaada!
 
Back
Top Bottom