Huu ni uchafu na sio afya, ndoo unayofulia, kuogea, kudekia n.k haipaswi kutumika kuwekea maji ya kunywa au kuhusika na maswala ya jikoni ni uchafu._Ndoo ya maji ya kunywa ukiamua unaogea
Sasa unazipunguzia wapAhaa hapana mkuu....mbna tunajicontrol
Sio afyaUkichoka ni simple kurahisisha mambo
Mbona wanyakyusa hatuko hivo, kwa nini ule pesa zako mwenyewe. Huta enjoy_Pesa zako unazotafuta ukipata unakula pekeako without mizinga
_Ata ukidondosha hela ukirudi unaikutaa
_Hutoi neti kila siku
Ukichoka huogi
_Ndoo ya maji ya kunywa ukiamua unaogea
_Kujifuta Maji na pazia baada ya kuoga
_Free kuwa na kitambi, hakuna wa kukwamba upunguze tumbo.
Ongezea naww .....wale Mashabiki wa Simba mtuache kidogo kimbieni kama kasongo ( nguruwe pori)View attachment 3146659
Ukiumwa unamtafuta msaada!_Pesa zako unazotafuta ukipata unakula pekeako without mizinga
_Ata ukidondosha hela ukirudi unaikutaa
_Hutoi neti kila siku
Ukichoka huogi
_Ndoo ya maji ya kunywa ukiamua unaogea
_Kujifuta Maji na pazia baada ya kuoga
_Free kuwa na kitambi, hakuna wa kukwamba upunguze tumbo.
Ongezea naww .....wale Mashabiki wa Simba mtuache kidogo kimbieni kama kasongo ( nguruwe pori)View attachment 3146659