Hizi ni nini wakuu?

Nimeenda kwa wakala kufanya Ka muamala kangu nikakuta kwa ndani juu ya mlango kuna hivi vitu viwili vimetundikwa. Kimoja ni kama kichupa kidogo na kingine ni hahaha flan imepigwa na staples.
Cc Mshana Jr

View attachment 2343972
Hizo ni CCTV camera za wale wasioonekana zikikunasa lazima uonekane mchana kweupee umenaswa

Inaonekana eneo hilo wapo wa kutosha ndio maana wameona wawawekee ulinzi wa kijadi
 
Wakati mwingine kuna mambo ni bora yakupite. Kama ni maushirikina na muhusika kakuona ukipiga picha, anaweza fikiri unajihusisha nao na kuna kombora unamwandalia akakuwahi kumbe ww nia yako uanzishe thread JF.
 
Nimeenda kwa wakala kufanya Ka muamala kangu nikakuta kwa ndani juu ya mlango kuna hivi vitu viwili vimetundikwa. Kimoja ni kama kichupa kidogo na kingine ni hahaha flan imepigwa na staples.
Cc Mshana Jr

View attachment 2343972
Kimoja ulinzi kingine mvuto.. Biashara nyingi hasa hizi zibazohusisha miamala watu hawakai kizembe maana mwisho wa siku utajikuta unawafanyia kazi wengine
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…