Hizi ni sababu za kwanini Misri na Jordan hawatakubali kuondolewa au wao kuwachukua wapelestina kutoka Gaza

Hizi ni sababu za kwanini Misri na Jordan hawatakubali kuondolewa au wao kuwachukua wapelestina kutoka Gaza

sanalii

JF-Expert Member
Joined
Oct 1, 2018
Posts
1,639
Reaction score
5,767
  1. Wanakataa kuonekana kama wasaliti kwa waarabu wenzao kwa kukubali wahamishe i.e kuwafavor wazayuni
  2. Wao wenyewe hawana maeneo ya kutosha ( hii sio kubwa sana)
  3. Strong one: wanajua Israel wakimalizana na wapalestina watahamia kwao ili kutimiza lengo lao la "Greater Israel", wazayuni wanaitaka Jordan, wanaitaka Sinai.
All in all, Trump na bwana wake Netanyahu hawatafanikiwa, Palestinians are their to stay in their land.

1000002258.jpg
 
Wanahangaika mno, mayahudi Kwa njia haram lakini kumbe wangeweza kumpumzika bila ghasia kupanga ni kuchagua, duniani Kuna jamii za watu wabishi na watata Sana Hasa warusi, wahayudi na wapalestine hivyo haya mateso hakuna atakae pumzika hapo
 
  1. Wanakataa kuonekana kama wasaliti kwa waarabu wenzao kwa kukubali wahamishe i.e kuwafavor wazayuni
  2. Wao wenyewe hawana maeneo ya kutosha ( hii sio kubwa sana)
  3. Strong one: wanajua Israel wakimalizana na wapalestina watahamia kwao ili kutimiza lengo lao la "Greater Israel", wazayuni wanaitaka Jordan, wanaitaka Sinai.
All in all, Trump na bwana wake Netanyahu hawatafanikiwa, Palestinians are their to stay in their land.

View attachment 3233292
huu Uzi umeandaa kishabiki na kinafiki
 
Mpango uliopo mpaka sasa according to president Trump,gaza inatakiwa ibadilishwe iwe kama dubai ,itafanyiwa total overhaul kwa hiyo hamas wamepewa siku tatu wa waachie mateka ,baada ya hapo ni kuisafisha Gaza kwa kuitindua tindua na kuondoa kila uchafu na mabomu yaliyo jificha kama kuna waliojificha mapangoni watakutana nacho huko huko lengo ni kuitengeneza Gaza kwa makazi ya watu yaliyo salama kulingana na mpango wa bwana Trump. Mfalme wa Jordan kashakalishwa kitako,bado misri lakini inavyo onekana hakuna wakuchomoa hapo.
 
Mpango uliopo mpaka sasa according to president Trump,gaza inatakiwa ibadilishwe iwe kama dubai ,itafanyiwa total overhaul kwa hiyo hamas wamepewa siku tatu wa waachie mateka ,baada ya hapo ni kuisafisha Gaza kwa kuitindua tindua na kuondoa kila uchafu na mabomu yaliyo jificha kama kuna waliojificha mapangoni watakutana nacho huko huko lengo ni kuitengeneza Gaza kwa makazi ya watu yaliyo salama kulingana na mpango wa bwana Trump. Mfalme wa Jordan kashakalishwa kitako,bado misri lakini inavyo onekana hakuna wakuchomoa hapo.
Hawa Waislamu wetu, sasa ndiyo wakati waende kuwasaidia waabudu shetani wenzao. Maana kimeumana, mwanzoni si walikuwa wakibembelezwa na muislamu mwenzao Hussein Obama! Tuone sasa kama hawatawaachia hao mateka ifikapo Jumamosi. Na Trump amewapelekea Isreal the Mother of All Bombs kutindua tindua magofu ya Gaza.

View: https://x.com/HilzFuld/status/1889406359461920878


View: https://x.com/MarioNawfal/status/1889380867287707904
 
Mpango uliopo mpaka sasa according to president Trump,gaza inatakiwa ibadilishwe iwe kama dubai ,itafanyiwa total overhaul kwa hiyo hamas wamepewa siku tatu wa waachie mateka ,baada ya hapo ni kuisafisha Gaza kwa kuitindua tindua na kuondoa kila uchafu na mabomu yaliyo jificha kama kuna waliojificha mapangoni watakutana nacho huko huko lengo ni kuitengeneza Gaza kwa makazi ya watu yaliyo salama kulingana na mpango wa bwana Trump. Mfalme wa Jordan kashakalishwa kitako,bado misri lakini inavyo onekana hakuna wakuchomoa hapo.
They won't succeed
 
Back
Top Bottom