Lethergo
JF-Expert Member
- Aug 7, 2023
- 6,534
- 11,421
Wakuu.
Leo ngoja nije niwape pole mama zetu, dada zetu na wadogo zetu wa kike wanaopitia changamoto za uzazi.
Hauwezi amini ila amini amini nakuambieni maumivu ya mwanamke ya kuishi bila kua na mtoto wa kumzaa hayazungumziki na hayachunguziki.
Poleni sana wanawake wote mnaopitia changamoto za uzazi.
Hauwezi amini wakati wewe hautaki kuzaa kisa tu kwa sababu fulani fulani za kipuuzi ukishika mimba tu wewe huyooo unawahi kule kwenye mikasi na vizu vingi unaenda unatoa mimba kwamba Baba atanionaje au mama atanionaje nikibakia na hii mimba.
Usisahau kuna mwenzio hio mimba unayoitoa wewe yeye yupo anaitafuta kwa kila jinsi kila mbinu na kila namna ila wapi bila mafanikio mimba haiingii, mimba haikai, mimba inatoka yenyewe na hapati mtoto.
Poleni sana wanawake wote msio na watoto ila mnatamani mngekua na watoto wenu wa kuwazaa.
Nina imani ipo siku isiyo na jina Mungu atatenda na nyinyi mtaitwa "Mama".
Na nyinyi watoaji mimba Mungu awapeni mnachostahiri yaani msipate mimba milele mpaka mtubu madhambi yenu ya kuua vichanga na kudhulumu uhai.
Yangu ni hayo tu.
Niishie hapa.
I Lethergo yesterday!
Leo ngoja nije niwape pole mama zetu, dada zetu na wadogo zetu wa kike wanaopitia changamoto za uzazi.
Hauwezi amini ila amini amini nakuambieni maumivu ya mwanamke ya kuishi bila kua na mtoto wa kumzaa hayazungumziki na hayachunguziki.
Poleni sana wanawake wote mnaopitia changamoto za uzazi.
Hauwezi amini wakati wewe hautaki kuzaa kisa tu kwa sababu fulani fulani za kipuuzi ukishika mimba tu wewe huyooo unawahi kule kwenye mikasi na vizu vingi unaenda unatoa mimba kwamba Baba atanionaje au mama atanionaje nikibakia na hii mimba.
Usisahau kuna mwenzio hio mimba unayoitoa wewe yeye yupo anaitafuta kwa kila jinsi kila mbinu na kila namna ila wapi bila mafanikio mimba haiingii, mimba haikai, mimba inatoka yenyewe na hapati mtoto.
Poleni sana wanawake wote msio na watoto ila mnatamani mngekua na watoto wenu wa kuwazaa.
Nina imani ipo siku isiyo na jina Mungu atatenda na nyinyi mtaitwa "Mama".
Na nyinyi watoaji mimba Mungu awapeni mnachostahiri yaani msipate mimba milele mpaka mtubu madhambi yenu ya kuua vichanga na kudhulumu uhai.
Yangu ni hayo tu.
Niishie hapa.
I Lethergo yesterday!