Hizi pesa za nbc leaugue nashauri benki yetu pendwa nsaidie yatima na wajane kwa matukio ya marefa kaburibuni tuna dhambi kubwa sana

Hizi pesa za nbc leaugue nashauri benki yetu pendwa nsaidie yatima na wajane kwa matukio ya marefa kaburibuni tuna dhambi kubwa sana

Pdidy

JF-Expert Member
Joined
Nov 22, 2007
Posts
57,951
Reaction score
32,619
Tumwinbe Mungu sala ZETU ziwafikie mzifanyie kaziii

NASHAURI kwa MATUKIO machafu yanayoendelea LIGI ya NBC via marefa

Naomba mwakan muwaachie wenyewe wapambane na hali zaooo

Hizi PESA za WAAMUZI zinaonekana aziwatoshi kabisa na sasa wameona wanxe kuharibu mechi za LIGI yetu

Mungu atusaidie kwa kweli hii LIGI sio ya kupeleka HATA alafu Tano

Ee Mungu TUSAIDIE
 
Mpwa kheri ya mwaka mpya ,pole kwa matokeo ya leo ,tuendelee kuomba uzima kwa mizimu yetu .

Hata marekani ilianza Kama Tanzania
 
Wamekataa ligi ya ustaarabu. Wacha waonyeshwe kwamba kama mbwai iwe mbwai.Hakuna kitakachoachwa.
 
NBC hajaenda kugawa pesa ligi kuu bure, bali kupata wasaa wa ligi kumtangazia biashara yake
 
Back
Top Bottom