Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Idadi ya majini ayafugayo.
UmeniwahiIdadi ya majini ayafugayo.
Na wengi wanaliwa/wanakula jicho wavaa hizo pete.Umeniwahi
huku kwetu sasa hivi zinauzwa na wamasai
pete mojahapo si chin yapepo elfu 6
Kwa hivyo wamasai ndiyo wanaouza majini?Umeniwahi
huku kwetu sasa hivi zinauzwa na wamasai
Kama hujui maana yake si unyamaze tu kuliko kufanya speculation?Na wengi wanaliwa/wanakula jicho wavaa hizo pete.
Kama huyafahamu majini ya waarabu, ndiyo hayo sasa.
Umeniwahi
huku kwetu sasa hivi zinauzwa na wamasai
hazina kazi hizo mapambo tu ila muogope sana mtu anaevaa pete za kijani
Sijui ila kuna mjumvi hapo juu kasema hazina shida ila zile za kijani ndio shidaKwa hivyo wamasai ndiyo wanaouza majini?
Usilolijua ni sawa na usiku wa giza, hakuna Imani ya Mungu inayokubali shirk, labda Ile inayoweka masanamu live kwenye nyumba za ibadaHizo pete zina vito vya thamani ili kuvutia majini..wapate bahati na pesa.
Kuna mstari mwembamba sana kati ya waimani hiyo na ushirikina.
#MaendeleoHayanaChama
Una ushahidi wa hoja hiyo?Idadi ya majini ayafugayo.
Kwanin mkuu?hazina kazi hizo mapambo tu ila muogope sana mtu anaevaa pete za kijani
Ninafuga, nikugawie.Una ushahidi wa hoja hiyo?
Nawewe unafuga hayo majini?