Hizi Pete zina kazi gani?

Hizo pete zina vito vya thamani ili kuvutia majini..wapate bahati na pesa.

Kuna mstari mwembamba sana kati ya waimani hiyo na ushirikina.

#MaendeleoHayanaChama
Usilolijua ni sawa na usiku wa giza, hakuna Imani ya Mungu inayokubali shirk, labda Ile inayoweka masanamu live kwenye nyumba za ibada
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…