Hizi pikipiki zina changamoto gani?

Hizi pikipiki zina changamoto gani?

meek444

Member
Joined
Sep 9, 2024
Posts
5
Reaction score
2
Nataka kununua pikipiki used na mimi niwe boda lakini kila kona naona hizi mali zinauzwa sana. Vipi wajuzi hivi zina changamoto sana labda..ushauri
1725893008176.jpg
 

Attachments

  • 1725892987707.jpg
    1725892987707.jpg
    518.1 KB · Views: 5
Ndio nayotumia Toka January mwaka Jana hadi Sasa nje ya kubadili oil na kurekebisha mnyonyororo hakuna shida nyingine ni pikipiki Bora kwa biashara kwa Sasa hasa ya bodaboda
 
Na vipi kuhusu hizi? Kwa upande wa spea na ubora
 

Attachments

  • images (11).jpeg
    images (11).jpeg
    30.7 KB · Views: 6
Ongeza hela ingia kariakoo nunua HONDA-ACE CC 110 zinauzwa million 1.7- 2,,,ni pikipiki mpya muonekano kama wa TVS ila bei bado ipo chini fanya faster kabla hazijapanda bei. Tatizo la TVS zinasumbua kutanua block na caburator zake zinajam sana,,,,,sikushauri ununue pikipiki used nyingi zilikuwa zinapiga bodaboda na wengi wa bodaboda hawafanyi service hata ukikuta pikipiki ya mwaka mmoja madogo hawajui kutunza.Na pia nyingi wanazouza unakuta wamebadilisha baadhi ya spare parts na kukufungia chakavu.
 
Ongeza hela ingia kariakoo nunua HONDA-ACE CC 110 zinauzwa million 1.7- 2,,,ni pikipiki mpya muonekano kama wa TVS ila bei bado ipo chini fanya faster kabla hazijapanda bei. Tatizo la TVS zinasumbua kutanua block na caburator zake zinajam sana,,,,,sikushauri ununue pikipiki used nyingi zilikuwa zinapiga bodaboda na wengi wa bodaboda hawafanyi service hata ukikuta pikipiki ya mwaka mmoja madogo hawajui kutunza.Na pia nyingi wanazouza unakuta wamebadilisha baadhi ya spare parts na kukufungia chakavu.
Asante mkuu, ila nimeshachoka pikipiki za muundo wa boxer , yaan kama tvs nataka muundo tofauti. Simpo kwa ruti za hapa hapa town sibebi mizigo ni misele tu
 
Back
Top Bottom