Ziroseventytwo
JF-Expert Member
- Mar 27, 2011
- 8,581
- 15,618
Hivi kwaani safari lager ina tatizo gani kwa waremboinawapotezea urembo, nini..!!Tena mrembo kweli. Anakunywa safari lager tena za moto. Ila alijistukia baada ya kuona jamaa wanamwangalia sana. Baada ya kunywa kama bia 2 hivi akabadilisha na kuagiza serengeti.
Nimeshangaa kweli aisee. Hizi pombe za sikukuu ni sheeeder aisee
Ngumu. Hizo ni kwa ajili ya wavuja jasho, kama wakulima na watu wa kazi ngumu.Kwani safari lager zikoje kaka?
Safari za siku hizi nyepesi ndugu sio ngumu km za zamani...Ngumu. Hizo ni kwa ajili ya wavuja jasho, kama wakulima na watu wa kazi ngumu.
Binti mrembo unakunywa lite ml 330 na si mibia ya nusu lita
Mtaani hali mbaya sana kiuchumi....hakuna wa kumchuna...Tena mrembo kweli. Anakunywa safari lager tena za moto. Ila alijistukia baada ya kuona jamaa wanamwangalia sana. Baada ya kunywa kama bia 2 hivi akabadilisha na kuagiza serengeti.
Nimeshangaa kweli aisee. Hizi pombe za sikukuu ni sheeeder aisee
Kwani safari lager zikoje kaka?
Ni ukata au ni nini mkuu.