Ati kolabo ufanye na Omario ndo ukachafue mitandaoni na kudumba kama umefanya kolabo na drake kumbe kolabo na veteraniHapa ndipo Diamond anaponiacha hoi, yaani anafanya kolabo na mtu wa nje cha maana wanachokifanya hao watu ni kutaja neon moja tu kama vile 'oooo' 'uuuu' 'waaaa' 'haaaa', 'you know what', 'Hey Yo', wabongo wanaona ujiko, this is beyond stupidity? Unamlipa mtu so much money kuuza sura tu?
[emoji23] [emoji23] [emoji23]Kibakuli ataishia kufanya kolabo na akina king Kong wa ilala
Na kweli zilipendwa ashirikishe wanaovuma sasa hiv kama futureYani diamond anafanya collabo na wasanii zulipendwa
Kusimama dede sio kazi rahisi kakaSasa kufanya collabo ni sifa?
Umeua mkuu harudi tenaHapana mkuu, Kolabo na Aby Skills ndio sifa.
kabisaKusimama dede sio kazi rahisi kaka
[emoji23] [emoji23] [emoji23]Hapana mkuu, Kolabo na Aby Skills ndio sifa.
So whatKibakuli ataishia kufanya kolabo na akina king Kong wa ilala
Mfano wimbo gani?Hapa ndipo Diamond anaponiacha hoi, yaani anafanya kolabo na mtu wa nje cha maana wanachokifanya hao watu ni kutaja neon moja tu kama vile 'oooo' 'uuuu' 'waaaa' 'haaaa', 'you know what', 'Hey Yo', wabongo wanaona ujiko, this is beyond stupidity? Unamlipa mtu so much money kuuza sura tu?
Kolabo na maveterani ndo sifa !!!
[emoji23][emoji23][emoji23]
Zilipendwa? Omarion haishi. B2K imekufa ila Omarion bado anatoa hit songs. Tafuta track inaitwa POST TO BE feat Chris Brown hio ngoma imekimbiza sana mpaka sasa hivi ina 500m views youtube.Yani diamond anafanya collabo na wasanii zulipendwa
Wimbo gani toa mfano.Hapa ndipo Diamond anaponiacha hoi, yaani anafanya kolabo na mtu wa nje cha maana wanachokifanya hao watu ni kutaja neon moja tu kama vile 'oooo' 'uuuu' 'waaaa' 'haaaa', 'you know what', 'Hey Yo', wabongo wanaona ujiko, this is beyond stupidity? Unamlipa mtu so much money kuuza sura tu?