Wild sniper
JF-Expert Member
- Apr 3, 2015
- 4,399
- 8,629
And entertainment is all about showbiz, yooohHapa ndipo Diamond anaponiacha hoi, yaani anafanya kolabo na mtu wa nje cha maana wanachokifanya hao watu ni kutaja neon moja tu kama vile 'oooo' 'uuuu' 'waaaa' 'haaaa', 'you know what', 'Hey Yo', wabongo wanaona ujiko, this is beyond stupidity? Unamlipa mtu so much money kuuza sura tu?
Huoni kuwa wanatukuzwa katika muktadha sahihi? laiti wangeenda kuwatukuza hao watu msikitini na kanisani hapo ndo ingekuwa tatizo...maana huko ndo sehemu sahihi ya kutukuza hao malaika uliowataja.sioni ajabu as long as hao wakina rozi na omaria sio malaika ni jambo la kawaida
muda mwingine tuache kutukuza binadamu wenzetu
Mtoa mada una wivu wa kike.
Ina maana diamond ndie msanii pekee wa kimataifa TZ?
sioni ajabu as long as hao wakina rozi na omaria sio malaika ni jambo la kawaida
muda mwingine tuache kutukuza binadamu wenzetu
Matusi hayo mkuuKiba nae anatafutiwa colabo na mange zikikamilika watatangaza.
mkuu hujanielewa lengo la ujumbe kwamba hiyo kolabo ni ya kawaida coz huyo rozi sio malaika kwamba mondi atatakasika thus y mwisho nikahitimisha tuache kutukuza wanadamu wenzetu nadhan umenipataHuoni kuwa wanatukuzwa katika muktadha sahihi? laiti wangeenda kuwatukuza hao watu msikitini na kanisani hapo ndo ingekuwa tatizo...maana huko ndo sehemu sahihi ya kutukuza hao malaika uliowataja.
Mbona una fikra hafifu sana mkuu! huyo Mungu mwenyewe kamtukuza binadamu kuliko kiumbe chochote alichowahi kukiumba ulimwenguni...!
waulize wahusika mkuuMkuu kwani kulano na vyone chakachaka inatoka lini..
Au atakua kwenye seduce you remix
Wizkid na Davido wanapiga Collabo na wasanii wakubwa daily na hawakuwahi kufanya Collabo na hao "Wanamuziki wastahafu"....huwezi kufikia 3 kabla 1 na 2 hujazivuka...ngoja kwanza aanze na hawa hawa waliochuja ili at least hao wakubwa wanaohit kwa sasa watambue uwepo wake...kisha naamini atafanya nao tu hao ambao wanahit kwa sasa huko mbele.
All in all,hizi collabo is for business purpose na exposure...tunaimba kiswahili,so ni vigumu sana kusimama peke yako kama solo ukitegemea siku moja mziki wako uje uuzike/usikike nchi za marekani na ulaya.
Wizkid na Davido wanapiga Collabo na wasanii wakubwa daily na hawakuwahi kufanya Collabo na hao "Wanamuziki wastahafu"....huwezi kufikia 3 kabla 1 na 2 hujazivuka...ngoja kwanza aanze na hawa hawa waliochuja ili at least hao wakubwa wanaohit kwa sasa watambue uwepo wake...kisha naamini atafanya nao tu hao ambao wanahit kwa sasa huko mbele.
All in all,hizi collabo is for business purpose na exposure...tunaimba kiswahili,so ni vigumu sana kusimama peke yako kama solo ukitegemea siku moja mziki wako uje uuzike/usikike nchi za marekani na ulaya.
Uchawi sio lazima ushike tunguli
Diamond bila collabo= Zero (0)
Kwa mnaofatilia mziki mtagundua hilo kua this time diamond can not stand alone.
Sasa hiv amekua ni mtu wa kuhangaika na collabo tu mbaya zaidi ananunua collabo kwa wasanii ambao kweny chat za billboard walishasahaulika.
Mashabiki wake hawalioni hili ndio maana wao kila kukicha utasikia Mond amecollabo na huyu mara amecollabo na yule.
Swali?
Uimara na ubora wa diamond unapimwa na kununua collabo nyingi?
Kwa hali mnayoiona sasa diamond anaweza akasimama peke yake na akatupa burudani kama anayotupa Dogo Aslay?