Baba Jazey
JF-Expert Member
- Apr 14, 2016
- 500
- 556
Ile upholstery ya mtoto wa Bakharesa inaitwaje. Naona nao wapo vizuri.
Inaitwa UPHOLSTERY DESIGN COazam upholstery
Safari lazima wakae
ila azam nao wana beii but ndo the best naona
kwenye hili naomba nikuunge mkono ni kweli hawana ukarimu kwa mteja... nilitaka kufanya nao kazi nikahairisha.hawa jamaa hawana customer care kabisa niliwahi kuwatembelea walivyonipokea tu nikabadili uamuzi wangu wa kubadili roof ya gari. Ila wanafanya vizuri ila customer care siyo nzuri kabisa.
natamani sana wangekuwepo humu ndan wajitathimini ili waweze kuboresha uduma zaokwenye hili naomba nikuunge mkono ni kweli hawana ukarimu kwa mteja... nilitaka kufanya nao kazi nikahairisha.
Wameshabadili jinaInaitwa UPHOLSTERY DESIGN CO
Safari wako Njiro Nanenane (nmesahau jina la kituo) nahawa jamaa wao vizuri sana ila sasa bei zao sio rafiki sana kwa tunaomiliki vigari vya bei nafuu na ukitaka kuhakkisha we angalia yale mandinga wanayoyafanyia kazi, ni gari za pesa kwenda mbele
kwa anaejua fundi mzuri wa seat covers kwa aARUSHA naomba msaada
Bei ya kukomoana (si rafiki kwa 'WANYONGE') Nilienda na Nissan Patrol wanataka 1.5m nikatafuta fundi mitaa ya Mabibo akanishonea kwa 450,000Daa! Jamaa wanajielewa aise. Hata web yao imekaa vizuri.
Duu! Na zimetoka vizuri kabisa mpaka mwenyewe ukaridhika nazo?Bei ya kukomoana (si rafiki kwa 'WANYONGE') Nilienda na Nissan Patrol wanataka 1.5m nikatafuta fundi mitaa ya Mabibo akanishonea kwa 450,000
Ni kweli. Hizi comments ni muhimu saana.natamani sana wangekuwepo humu ndan wajitathimini ili waweze kuboresha uduma zao
Material wananunua sehemu moja. Jamaa wame-target upper class.Duu! Na zimetoka vizuri kabisa mpaka mwenyewe ukaridhika nazo?
wana bei sana! nilitaka carpet wakaniambia 1.5ml.Bei ya kukomoana (si rafiki kwa 'WANYONGE') Nilienda na Nissan Patrol wanataka 1.5m nikatafuta fundi mitaa ya Mabibo akanishonea kwa 450,000
Ilikuwa mkoa gani? Hapo ndio biashara nyingi huwa zinakwama. Baada ya kupata mafanikio, wanaanza kuzingua.kwenye hili naomba nikuunge mkono ni kweli hawana ukarimu kwa mteja... nilitaka kufanya nao kazi nikahairisha.
Ongea na fundi wa pale pale chemba akushonee mtaani kwa standard ile Ile vinginevyo utaumiawana bei sana! nilitaka carpet wakaniambia 1.5ml.
www.safariupholstery.comSidhani kama wana website, mara nyingi nawaona wakijitangaza kwenye Instagram pekee.
Pole sana kwa yaliyokukuta nia Na dhumuni la SAFARI Automotive siku zote ni kukupa huduma Bora Na kazi yenye Ubunifu mkubwa sana.hawa jamaa hawana customer care kabisa niliwahi kuwatembelea walivyonipokea tu nikabadili uamuzi wangu wa kubadili roof ya gari. Ila wanafanya vizuri ila customer care siyo nzuri kabisa.
Siwezi kushauri hilo kabisaOngea na fundi wa pale pale chemba akushonee mtaani kwa standard ile Ile vinginevyo utaumia
Ukweli SAFARI Automotive Tunajitahidi sana kwmeye huduma kwa ofisi yoyote utakayoenda utapigwa Na butwaa- huduma nzuri sana sijui huyu my Mteja wetu nini kilimtokea- pole sanaDuu! Kumbe! Ilikuwa ofisi za wapi? Mie Mwanza walinipokea vizuri.
Bei bei kizuri inabidi ukigharamie ndiyo ukiheshu.
Daah hapo wameharibu gari kabisaa imekua kama ya mtu wa Gamboshi aisee.
Sent using Jamii Forums mobile app