Hizi sitaki nataka nazo..!

Haya boss wangu, c unajua mi nafuata oda zako naja.

Haus gal ananiita hivyo, na wewe uniite hivyo??!!! Aaaaah! Tafadhali mamiiiii . . . au umeshabadilishana vyeo na hausi geli wako so that yeye ndo ananiita . . . :roll:
 

:laugh::laugh::laugh::laugh::laugh::laugh::laugh::laugh::laugh::laugh::laugh::laugh::laugh::laugh:Michelle, hawa watu si mchezo rafiki yangu mi waga nachekaga tu saa ingine!!!!
 
Usista du huo. Wanaume nanyi muwe strait to the point tadhali! Eleza shida acha kupiga misele, loh.
 

mazungumzo chumbani..! Tena wengine kabla ya kwenda mnakubaliana kabisa the way forward ni kuchakachuana
 
mazungumzo chumbani..! Tena wengine kabla ya kwenda mnakubaliana kabisa the way forward ni kuchakachuana

Amekutafakari kabla ya kutimiza mliokubaliana akaona hustahili kupewa heshima ya kuchakachuana nae.....haihitaji shule kuelewa hilo.....makubaliano yaweza vunjika akaona sehemu ya kukuambia ni pale mlipoahidiana mkutane.......:embarrassed:
 
:laugh::laugh::laugh::laugh::laugh::laugh::laugh::laugh::laugh::laugh::laugh::laugh::laugh::laugh:Michelle, hawa watu si mchezo rafiki yangu mi waga nachekaga tu saa ingine!!!!

Mi huwa nacheka na kuwahurumia....unaweza muambia akakuzima so unamuacha tu achukue muda na nguvu yote at the end kama unaona hakufai basi tena.....ila inauma:coffee:
 
Usista du huo. Wanaume nanyi muwe strait to the point tadhali! Eleza shida acha kupiga misele, loh.

Yaani tukifanya hivi tutakuwa tunavunja kanuni za ku-approach ladies tulizojiwekea . . . . lol
 
Amekutafakari kabla ya kutimiza mliokubaliana akaona hustahili kupewa heshima ya kuchakachuana nae.....haihitaji shule kuelewa hilo.....makubaliano yaweza vunjika akaona sehemu ya kukuambia ni pale mlipoahidiana mkutane.......:embarrassed:

sasa hiyo ndo "sitaki nataka" bt si mbaya coz mwisho wa siku huwa mnaingia line
 
Raha ya kumfukuzia mwanamke akiringa kidogo na pozi kwa mbali sio anakubali siku ya kwanza na kubanjuana siku hiyohiyo inaondoa msisimko.
 
Raha ya kumfukuzia mwanamke akiringa kidogo na pozi kwa mbali sio anakubali siku ya kwanza na kubanjuana siku hiyohiyo inaondoa msisimko.

Kweli paka hali mizoga . . . :roll:
 
duu! Cjui niwe upande gan hapa mana kote kote kunaMATATZO yan c mchezo labda nitoke nirud bidae kdogo mana mh!
 
Tatizo unatongoza watoto,ama unatongoza kitoto.
 
Haus gal ananiita hivyo, na wewe uniite hivyo??!!! Aaaaah! Tafadhali mamiiiii . . . au umeshabadilishana vyeo na hausi geli wako so that yeye ndo ananiita . . . :roll:

Ameniiga.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…