Hizi status za WhatsApp balaa!

Mimi najua ya "Kill them with smile, burry them with success"
Mbona ya kawaida sana?
Acha ushamba wewe.
Mimi wanaonikera ni wale waswahili kutwa vijembe.
Aiseee kuna watu wana maneno hatariiii.
Utaskia"si bure umerogwaa,.. Kafanyiwe maombi"au "mi ndo kiboko yao, na bado"
 
Mi hua nasema Whatsapp ni mtandao wa kichonganishi sana.
 
Sasa mkuu mimi huwa sielewi, mtu anaweka status kama hiyo, yupo chuo mwaka wa pilia anategemea boom, success gani sasa?
Inaweza kuwa matokeo ya mtihani yametoka na kapata GPA nzuri kama 4.5GPA ni success kwake
 
Wenye simu feki tayar wameshaanza kubadilisha status [emoji3][emoji3][emoji3]kuna mmoja nimemshtukia eti kaandika''BACK TO SCHOOL [emoji2][emoji2][emoji2][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…