Hizi story za kupotea kwa roma na wenzake tuziangalie kwa jicho la tatu

isho_boy

JF-Expert Member
Joined
Sep 22, 2015
Posts
2,145
Reaction score
1,892
Mm nimekaa nikatafakari kuhusu hili sakata la kutekwa nyara kwa roma na wenzake linanipa ukakasi na mashaka kabisa juu yake.....nahisi ni usanii fulani apa unatumika watu wapate attention either hawa waliotekwa au aliyewateka au kuna mchezo hapa tunachezewa kabisa......siyo kwa nia mbaya ila inabidi tuliangalie kwa jicho la tatu tusije tukaingia wote mkenge..!!!
 
Na hivi Wa TZ tulivyojaliwa poor reasoning, wote tunaegemea mawazo ya upande mmoja kama Nyumbu...siombei mtu kupata tatizo awe Msanii au nani lakini kwa hili la Roma nitakuwa wa mwisho kuamini kama hakukuwa na mchezo wa kuigiza tu.
 
Na hivi Wa TZ tulivyojaliwa poor reasoning, wote tunaegemea mawazo ya upande mmoja kama Nyumbu...siombei mtu kupata tatizo awe Msanii au nani lakini kwa hili la Roma nitakuwa wa mwisho kuamini kama hakukuuwa na mchezo wa kuigiza tu.
Umeona eeeh
 
Solo thang zamani alikua na tabia ya kujiteka na kuwasingizia kikosi cha mizinga...alitangazwa sana na baadae akitoa nyimbo inapaishwa kinoma!!!...huenda historia inajirudia..ila imerudi kipindi ambacho watu wenye upeo wa ku reason wameongezeka..hiyo ndio shida
 
kwani kuna watu waliamini roma alitekwa?basi hii nchi ina mahamnazo wengi
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] aiseee kuna watu wanavituko
 
Nadhani yule aliyewatangazia waandishi wa habari kuwa Roma atapatikana kabla ya Jumapili, atakuwa anajua kila kitu!
 


Chadema chini ya Tundu Lisu na Masha ndiyo wanafanya huu ujinga!
 
Hahaaaa thanks for thread this Saturday is ending well
 
kwani kuna watu waliamini roma alitekwa?basi hii nchi ina mahamnazo wengi
Mm nahisi roma kuna mchezo anatuchezea wa bongo ila mm nishaushtukia tyari ila haweza jua
 
Ni nani huyu anachezea akili za watu ...?
 
Ikitokea hiu kuwa ni kweli mkuu utatueleza nn humu?
 
Nadhani yule aliyewatangazia waandishi wa habari kuwa Roma atapatikana kabla ya Jumapili, atakuwa anajua kila kitu!
Hata mm yule ndie kanitia mashaka. Sasa sijui sababu haandikwi wala kutolewa kwenye media ameamua atafute Kik kihivyo hata sijuelewa.
 
Hayo maigizo yanahtaji akili ndefu sana kuyagundua!
Ingawa wengi wanajua kilichotokea kwa hisia, ila wanahoj kupata ushaidi tu wahisia zao,
Wakutoa ushaidi ni Roma ila yy mwenyewe kakimbia ukweli wa tukio mbele camera, hapo chacha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…