Na hivi Wa TZ tulivyojaliwa poor reasoning, wote tunaegemea mawazo ya upande mmoja kama Nyumbu...siombei mtu kupata tatizo awe Msanii au nani lakini kwa hili la Roma nitakuwa wa mwisho kuamini kama hakukuwa na mchezo wa kuigiza tu.Mm nimekaa nikatafakari kuhusu hili sakata la kutekwa nyara kwa roma na wenzake linanipa ukakasi na mashaka kabisa juu yake.....nahisi ni usanii fulani apa unatumika watu wapate attention either hawa waliotekwa au aliyewateka au kuna mchezo hapa tunachezewa kabisa......siyo kwa nia mbaya ila inabidi tuliangalie kwa jicho la tatu tusije tukaingia wote mkenge..!!!
Umeona eeehNa hivi Wa TZ tulivyojaliwa poor reasoning, wote tunaegemea mawazo ya upande mmoja kama Nyumbu...siombei mtu kupata tatizo awe Msanii au nani lakini kwa hili la Roma nitakuwa wa mwisho kuamini kama hakukuuwa na mchezo wa kuigiza tu.
Solo thang zamani alikua na tabia ya kujiteka na kuwasingizia kikosi cha mizinga...alitangazwa sana na baadae akitoa nyimbo inapaishwa kinoma!!!...huenda historia inajirudia..ila imerudi kipindi ambacho watu wenye upeo wa ku reason wameongezeka..hiyo ndio shida
Mm nimekaa nikatafakari kuhusu hili sakata la kutekwa nyara kwa roma na wenzake linanipa ukakasi na mashaka kabisa juu yake.....nahisi ni usanii fulani apa unatumika watu wapate attention either hawa waliotekwa au aliyewateka au kuna mchezo hapa tunachezewa kabisa......siyo kwa nia mbaya ila inabidi tuliangalie kwa jicho la tatu tusije tukaingia wote mkenge..!!!
Hahaaaa thanks for thread this Saturday is ending wellSolo thang zamani alikua na tabia ya kujiteka na kuwasingizia kikosi cha mizinga...alitangazwa sana na baadae akitoa nyimbo inapaishwa kinoma!!!...huenda historia inajirudia..ila imerudi kipindi ambacho watu wenye upeo wa ku reason wameongezeka..hiyo ndio shida
Mm nahisi roma kuna mchezo anatuchezea wa bongo ila mm nishaushtukia tyari ila haweza juakwani kuna watu waliamini roma alitekwa?basi hii nchi ina mahamnazo wengi
Kuna tatizo hapa
Ikitokea hiu kuwa ni kweli mkuu utatueleza nn humu?Solo thang zamani alikua na tabia ya kujiteka na kuwasingizia kikosi cha mizinga...alitangazwa sana na baadae akitoa nyimbo inapaishwa kinoma!!!...huenda historia inajirudia..ila imerudi kipindi ambacho watu wenye upeo wa ku reason wameongezeka..hiyo ndio shida
Hata mm yule ndie kanitia mashaka. Sasa sijui sababu haandikwi wala kutolewa kwenye media ameamua atafute Kik kihivyo hata sijuelewa.Nadhani yule aliyewatangazia waandishi wa habari kuwa Roma atapatikana kabla ya Jumapili, atakuwa anajua kila kitu!
Ikitokea hiu kuwa ni kweli mkuu utatueleza nn humu?