Encryption
JF-Expert Member
- Oct 16, 2015
- 997
- 1,348
Hivu=HiviTahadhali = tahadhari
Hivu hizo shule mlienda kusomea ujinga?
Mganga hajigangi. Ha ha haaahivu=hivi
hivi hizo shule mlienda kusomea ujinga!?
jino kwa jino...ma..ma...**ehivu=hivi
hivi hizo shule mlienda kusomea ujinga!?
WAYALINGI=Wiring. [emoji23][emoji23][emoji23]Hiyo taa moja ni ya handbreak,, kwa nilichogundua mpaka sasa Mkuu gari yako inamatatizo kwenye masuala ya WAYALINGI ( sijui kwa kimombo wanaandikaga vipi) na mara nyingi sababu zake ni kuosha injini au kuingia kwenye dimbwi kubwa la maji. Ukimpelekea fundi wa aina hiyo basi tatizo lako litakua limekwisha.
Hichi kijibibi kinajikuta kinajua kukosoa kumbe na chenyewe ni mbuzi tu..[emoji3][emoji3]hivu=hivi
hivi hizo shule mlienda kusomea ujinga!?