KERO Hizi takataka ni kero kubwa kwa Wakazi wa Mwananyamala Kisiwani, zitatuletea magonjwa

KERO Hizi takataka ni kero kubwa kwa Wakazi wa Mwananyamala Kisiwani, zitatuletea magonjwa

Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua

Nyakijooga

JF-Expert Member
Joined
Dec 9, 2018
Posts
276
Reaction score
473
Sisi Wananchi wa Mtaa wa Mwananyamala Kisiwani Kwa Kidile tuna kero yetu ya takataka, zimekusanywa sehem ya makazi, zina wiki sasa kiasi kwamba funza na wadudu wengine wameanza kusambaa

Bila shaka tunapoelekea kupata maambukizi ya magonjwa mbalimbali ikiwemo Kipindupindu. Mamlaka zinazohusika zipo tu zinaona kinachoendelea na kupita eneo hilo kama hawaoni kinachotokea

 
Back
Top Bottom