Hizi Takwimu Zina Walakini

Hizi Takwimu Zina Walakini

Shark

JF-Expert Member
Joined
Jan 25, 2010
Posts
29,775
Reaction score
29,746
Wakuu Kwema?

Kuna Takwimu zimetolewa na TFF zikionyesha mambo mbalimbali yaliyotokea msimu ulioisha ikiwemo Timu iliyoingiza mapato mengi, Uwanja Ulioingiza Mashabiki Wengi, Timu yenye Mashabiki Wengi, etc.

Binafsi naweza nisiamini sana juu ya Mapato Kwa kila Uwanja au Mapato Kwa Kila Timu sababu ya upigaji, lakin takwimu hizi zinaweza kua kweli pia sababu ni kiasi cha kujua tu tickets zilizouzwa na mgao wa kila timu.

Shida yangu ni Takwimu za timu yenye Mashabiki Wengi, hapa "tumepigwa" mchana kweupe. Tunapokata tickets hua hatuandikishi sisi ni mashabiki wa timu gani, na isitoshe Mechi kama za Simba v/s Yanga ambazo zote ziko Dar dhana ya timu mwenyeji hua iko kwenye makaratasi tu, lakini kiuhalisia timu zote hua ni wenyeji.

Kama mechi ambayo Yanga atahesabika kua mwenyeji basi anapewa mashabiki wote sio sahihi maana hakuna takwimu rasmi za idadi ya mashabiki kwa kila timu kwenye mechi husika.

Yaani Inawezekana kwenye Mechi ya Yanga vs Simba idadi ya mashabiki wa Simba walikua wengi kuliko wa Yanga lakin sababu mechi hiyo Yanga walikua wenyeji basi mashabiki wote anapewa Yanga.

Ieleweke hapa sizungumzii kishabiki, bali aina ya takwimu na jinsi ilivyopatikana. Kama kuna hoja zaidi katika hili karibuni.
 
Kasome vizuri na uzielewe zile takwimu.

Wao wamezungumzia idadi ya watazamaji waliohudhuria mechi we umekaza shingo kuongelea mambo ya mashabiki.

tofautisha watazamaji na mashabiki.
 
Wakuu Kwema?

Kuna Takwimu zimetolewa na TFF zikionyesha mambo mbalimbali yaliyotokea msimu ulioisha ikiwemo Timu iliyoingiza mapato mengi, Uwanja Ulioingiza Mashabiki Wengi, Timu yenye Mashabiki Wengi, etc.

Binafsi naweza nisiamini sana juu ya Mapato Kwa kila Uwanja au Mapato Kwa Kila Timu sababu ya upigaji, lakin takwimu hizi zinaweza kua kweli pia sababu ni kiasi cha kujua tu tickets zilizouzwa na mgao wa kila timu.

Shida yangu ni Takwimu za timu yenye Mashabiki Wengi, hapa "tumepigwa" mchana kweupe. Tunapokata tickets hua hatuandikishi sisi ni mashabiki wa timu gani, na isitoshe Mechi kama za Simba v/s Yanga ambazo zote ziko Dar dhana ya timu mwenyeji hua iko kwenye makaratasi tu, lakini kiuhalisia timu zote hua ni wenyeji.

Kama mechi ambayo Yanga atahesabika kua mwenyeji basi anapewa mashabiki wote sio sahihi maana hakuna takwimu rasmi za idadi ya mashabiki kwa kila timu kwenye mechi husika.

Yaani Inawezekana kwenye Mechi ya Yanga vs Simba idadi ya mashabiki wa Simba walikua wengi kuliko wa Yanga lakin sababu mechi hiyo Yanga walikua wenyeji basi mashabiki wote anapewa Yanga.

Ieleweke hapa sizungumzii kishabiki, bali aina ya takwimu na jinsi ilivyopatikana. Kama kuna hoja zaidi katika hili karibuni.
Mkuu, takwimu hazizungumzii MASHABIKI (Fans) zinazungumzia WATAZAMAJI (Spectators).

Get your facts right.
 
Sasa mkuu we ulitaka wabase kwenye nini?? Na taarifa imeeleza ni watazamaji wewe umekaza ubongo kua imejuaje wewe ni simba ilhali hukujaza popote.
Kama wewe ni simba umeingia kwenye mechi yanga ndio mwenyeji hutotazama ama?? Maana wanesema watazamaji.

Tafiti hupingwa kwa tafiti mkuu, leta yako ipingane na hii iliyopo na sio hizi brabra zako.
 
Daaah kweli mbumbumbu hawezi kuacha asili yake, data inasema idadi ya watazamaji na sio mashabiki mkuu

Mbona mnapenda kujishtukia
Sasa mkuu we ulitaka wabase kwenye nini?? Na taarifa imeeleza ni watazamaji wewe umekaza ubongo kua imejuaje wewe ni simba ilhali hukujaza popote.
Kama wewe ni simba umeingia kwenye mechi yanga ndio mwenyeji hutotazama ama?? Maana wanesema watazamaji.

Tafiti hupingwa kwa tafiti mkuu, leta yako ipingane na hii iliyopo na sio hizi brabra zako.
Mkuu, takwimu hazizungumzii MASHABIKI (Fans) zinazungumzia WATAZAMAJI (Spectators).

Get your facts right.
Screenshot_20210923-135923.png


Niliomba pale juu tuje na facts, sio ushabiki. Sio kwa sababu umeona mtu ka comment kitu nawe unaunganisha tu kujibu, ni kama akili yako umempa mtu mwengine akusaidie kufikiri kwa niaba yako.

Unajishushia hadhi kama Mwana JF. Hapa juu wanasema Mashabiki, ndani wanasema spectators. Sasa ipi ni ipi, hapo weka unaloona
 
View attachment 1949460

Niliomba pale juu tuje na facts, sio ushabiki. Sio kwa sababu umeona mtu ka comment kitu nawe unaunganisha tu kujibu, ni kama akili yako umempa mtu mwengine akusaidie kufikiri kwa niaba yako.

Unajishushia hadhi kama Mwana JF. Hapa juu wanasema Mashabiki, ndani wanasema spectators. Sasa ipi ni ipi, hapo weka unaloona
Kwenye hiyo chati kuna maneno:

Top 20 teams with most SPECTATORS season 2020/2021.

Au labda niwe sijasoma vizuri.

Kama kweli imeandikwa spectators kama ninavyoona mimi basi hapa wanazungumziwa WATAZAMAJI.

Mtu yeyote atakayesema maana ya spectators ni washabiki atakua amekosea. Yeyote yule awaye. Nina uhakika juu ya hili.

Niamini mimi, spectaors are not necessarily fans.
 
Hizo takwimu ni nzuri sana, Zinatoa picha halisi kuwa kuna fedha nyingi za viingilio viwanjani zinaibwa na wajanja wachache.

Ipo haja ya Serekali kuweka msisitizo wa tiketi za kielekronik kwenye viwanja vyote nchini.
 
Uto leo hii tff imetoa stats zinazowabeba full shangwe subir mfungwe sasa malalamiko yote kwa tff hata mke asipokupa unyumba lawama kwa tff.
 
Wakuu Kwema?

Kuna Takwimu zimetolewa na TFF zikionyesha mambo mbalimbali yaliyotokea msimu ulioisha ikiwemo Timu iliyoingiza mapato mengi, Uwanja Ulioingiza Mashabiki Wengi, Timu yenye Mashabiki Wengi, etc.

Binafsi naweza nisiamini sana juu ya Mapato Kwa kila Uwanja au Mapato Kwa Kila Timu sababu ya upigaji, lakin takwimu hizi zinaweza kua kweli pia sababu ni kiasi cha kujua tu tickets zilizouzwa na mgao wa kila timu.

Shida yangu ni Takwimu za timu yenye Mashabiki Wengi, hapa "tumepigwa" mchana kweupe. Tunapokata tickets hua hatuandikishi sisi ni mashabiki wa timu gani, na isitoshe Mechi kama za Simba v/s Yanga ambazo zote ziko Dar dhana ya timu mwenyeji hua iko kwenye makaratasi tu, lakini kiuhalisia timu zote hua ni wenyeji.

Kama mechi ambayo Yanga atahesabika kua mwenyeji basi anapewa mashabiki wote sio sahihi maana hakuna takwimu rasmi za idadi ya mashabiki kwa kila timu kwenye mechi husika.

Yaani Inawezekana kwenye Mechi ya Yanga vs Simba idadi ya mashabiki wa Simba walikua wengi kuliko wa Yanga lakin sababu mechi hiyo Yanga walikua wenyeji basi mashabiki wote anapewa Yanga.

Ieleweke hapa sizungumzii kishabiki, bali aina ya takwimu na jinsi ilivyopatikana. Kama kuna hoja zaidi katika hili karibuni.
Takwimu za kupigia pesa ya GSM!! Takwimu halisi ni kutoa jumla ya mapato ya nyumbani na ugenini kwa sababu kwa timu za simba na yanga ugenini na nyumbani ni uwanja ule ule na watu ni wale wale!! Jiulize maswali yafuatayo: Kwa nini hii takwimu itoke sasa baada ya utopolo kuangukia pua?? Mbona haikutoka kabla?? Kimetokea nini sasa?? Wataalamu wa bongo wanajua kula na kipofu!! Msitusahaulishe habari iliyoko mjini kwa sasa!! Habari hiyo ni utopolo yaangukia pua caf champions league asubuhi mapema!!
 
View attachment 1949460

Niliomba pale juu tuje na facts, sio ushabiki. Sio kwa sababu umeona mtu ka comment kitu nawe unaunganisha tu kujibu, ni kama akili yako umempa mtu mwengine akusaidie kufikiri kwa niaba yako.

Unajishushia hadhi kama Mwana JF. Hapa juu wanasema Mashabiki, ndani wanasema spectators. Sasa ipi ni ipi, hapo weka unaloona
Kwahiyo wewe umeamua kichukua ya juu ukaanzishia uzi.
Si mbaya mkuu ni vile unaifurahisha nafsi yako.
 
Kwenye hiyo chati kuna maneno:

Top 20 teams with most SPECTATORS season 2020/2021.

Au labda niwe sijasoma vizuri.

Kama kweli imeandikwa spectators kama ninavyoona mimi basi hapa wanazungumziwa WATAZAMAJI.

Mtu yeyote atakayesema maana ya spectators ni washabiki atakua amekosea. Yeyote yule awaye. Nina uhakika juu ya hili.

Niamini mimi, spectaors are not necessarily fans.
Mkuu,
Chati inayosema SPECTATORS ni ya TFF, na Facebook posting iliyotamka MASHABIKI na ikapost hiyo Chati ni ya hao hao TFF. Mimi na wewe sio TFF, hivyo unaweza ukafuata Chati nami nikafuata maandishi ya kiswahili ya Facebook.

Nachojiuliza katika hivi viwili, je walianza kuwaza Spectators ndio baadae wakatafuta neno lake la kiswahili likawajia Mashabiki? Au walianza Kwanza kufikiria Mashabiki ndio ndio wakatafuta neno lake Kiengereza wakapata Spectators?
 
Mkuu,
Chati inayosema SPECTATORS ni ya TFF, na Facebook posting iliyotamka MASHABIKI na ikapost hiyo Chati ni ya hao hao TFF. Mimi na wewe sio TFF, hivyo unaweza ukafuata Chati nami nikafuata maandishi ya kiswahili ya Facebook.

Nachojiuliza katika hivi viwili, je walianza kuwaza Spectators ndio baadae wakatafuta neno lake la kiswahili likawajia Mashabiki? Au walianza Kwanza kufikiria Mashabiki ndio ndio wakatafuta neno lake Kiengereza wakapata Spectators?
1. Kwa vyovyote vile iwavyo tafsiri ya kiswahili ya spectators ni watazamaji.
Hata kama TFF wao watasema tafsiri yake ni washabiki, mafundi umeme, wapaka rangi, vinyozi, waombolezaji n.k

2. Kwenye dunia ya michezo hasa mpira wa miguu, wahudhuriaji wa mechi uwanjani huwa wanaitwa watazamaji au wahudhuriaji (huwa yanatumika maneno mawili kuwaeleza hawa, yaani ATTENDANCE au SPECTATORS na sio FANS).

Kwa sababu takwimu zilizotolewa ni za watu walionunua tiketi na kuhudhuria mechi uwanjani, basi hapa wanazungumziwa watazamaji au wahudhuriji na sio mashabiki.

Mkuu, kutokana na sababu za ''asiyeshiba wa kwenye sinia hatoshiba wa kwenye kijiko", hili suala sitaendelea kulieleza tena. Hapa pametosha.
 
1. Kwa vyovyote vile iwavyo tafsiri ya kiswahili ya spectators ni watazamaji.
Hata kama TFF wao watasema tafsiri yake ni washabiki, mafundi umeme, wapaka rangi, vinyozi, waombolezaji n.k

2. Kwenye dunia ya michezo hasa mpira wa miguu, wahudhuriaji wa mechi uwanjani huwa wanaitwa watazamaji au wahudhuriaji (huwa yanatumika maneno mawili kuwaeleza hawa, yaani ATTENDANCE au SPECTATORS na sio FANS).

Kwa sababu takwimu zilizotolewa ni za watu walionunua tiketi na kuhudhuria mechi uwanjani, basi hapa wanazungumziwa watazamaji au wahudhuriji na sio mashabiki.

Mkuu, kutokana na sababu za ''asiyeshiba wa kwenye sinia hatoshiba wa kwenye kijiko", hili suala sitaendelea kulieleza tena. Hapa pametosha.
Shida yako wewe ni moja tu,
Unaamini TFF ni Waingereza sana hivyo walianza kufikiria neno SPECTATORS ndio baadae wakaamua kutafuta tafsiri ya kiswahili wakapata tafsiri iliyo Wrong ya Mashabiki.

Akili yako haitaki kufikiria nje ya hapo kua Inawezekana pia Walianza kufikiria neno Mashabiki baadae kwenye kutafuta neno la Kiengereza ndio wakapata neno lililo wrong la Spectators.

Anyway, wacha hii iwe kama dini, kila mtu aamini kile anachoona yeye ni sahihi kwake.
 
Uwanja unatakiwa uwe na sehemu tatu
1. Mashabiki wenyeji
2. Mashabiki wa timu ngeni
3. Mashabiki neutral
Ununuapo ticket inabidi uulizwe wapi unataka ukakae
Nalog off
 
Back
Top Bottom