Ulimakafu JF-Expert Member Joined Mar 18, 2011 Posts 31,248 Reaction score 13,244 Mar 13, 2024 #21 Kindeena said: Ameinunua Simba bei gani? Click to expand... 20b halafu ana baneti ya Mwaka 24b.
Kindeena JF-Expert Member Joined Sep 27, 2017 Posts 11,462 Reaction score 21,124 Mar 13, 2024 #22 Ulimakafu said: 20b halafu ana baneti ya Mwaka 24b. Click to expand... Ulimkafu Malafyale
Robidinyo JF-Expert Member Joined Feb 20, 2016 Posts 4,043 Reaction score 8,686 Mar 13, 2024 #23 Mwigulu akipata pesa zinafufuka, akiishiwa zinakufa, magufuli alipokata mrija singida ilijifia kifo cha mende
Mwigulu akipata pesa zinafufuka, akiishiwa zinakufa, magufuli alipokata mrija singida ilijifia kifo cha mende
Kipondo Cha ugoko JF-Expert Member Joined Apr 12, 2023 Posts 878 Reaction score 1,511 Mar 13, 2024 #24 Factor said: Kabisa mkuu na ukiangalia vizuri ni kwamba hawana plan yeyote ile ya maana Click to expand... Mimi ninahisi muanzilishi wa hizo timu anamichezo michafu ya utakatishaji fedha , sema nchi yetu ndo hivyo haiko seriously lkn .......!!!
Factor said: Kabisa mkuu na ukiangalia vizuri ni kwamba hawana plan yeyote ile ya maana Click to expand... Mimi ninahisi muanzilishi wa hizo timu anamichezo michafu ya utakatishaji fedha , sema nchi yetu ndo hivyo haiko seriously lkn .......!!!