Hizi tena ni zaidi ya sifa

Tatizo umetokea Dar na hizo mambo hakuna, huko mikoani watu wanapiga kazi aisee mpaka manzi mwenyewe analazimika kupiga hizo kelele [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
We sema tu unatafuta justification ya uzinzi wako.
sijui lakini nilizurura zurura kidogo wakati wa ujana lakini kwa sasa napata tabu sana kutembea na mtu ambaye simjui na simpendi kwa kuwa badala ya furaha uwa naona kalaha baada ya tendo lenyewe hivyo muhimu muhusika asijaribu ujinga huo kwa kuwa atapata raha kwa muda mfupi lakini kalaha kwa muda wake wote kwakuwa nafsi itamsuta mno.
 
😅😅😅Naweza mtetea mdada...kuna wanaume wanatom...kw sifa sana..yaan anagusa pale pale👄👄..then unaanza ulizwa ulizwa maswalj ya kimahaba...kupiga kelel ni "pie" kwakweli...!unashindwa kbs kujikaza...!msamehe bure
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…