Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
asante kwa kuonesha kwamba umepasi vema mtihani wa matumizi ya ujinga na upumbavu, kongole.Ukitoka kwenye mood nenda kwa shabani. Utakuwa na nyota ya umalya.
Sent using Jamii Forums mobile app
mkuu nafurahi tena kukuona hapa.....stay safe..Minadhani.....
Kuna tofauti kubwa kati ya historia na kumbukumbu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Same here mkuu, take care of your self..mkuu nafurahi tena kukuona hapa.....stay safe..
Ka kolona hakuagi, tusitiahane, ka kolona kanauga tumbuzi, tukuku, tukwale, tuoili, tumafenesi, na tumapapai
Naamini uko freshy sasa kaka.Minadhani.....
Kuna tofauti kubwa kati ya historia na kumbukumbu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kama yuko vizuri basi aweke tanzia za ndugu zake pia.Huyo member TANZIA yuko vizuri kutoa updates
It is never too late to begin. Start now
NdiyoKwakweli hata mimi haya matangazo yananiboa na sioni umuhimu wake kwa kipindi hiki. Unapita huko kuokoteza taarifa za vifo unakuja kutangaza humu ili iweje sasa? Ikitokea wakafa zaidi ya 1000 kwa siku kama huko Marekani bado utatangaza?