Tajiri Tanzanite
JF-Expert Member
- Oct 23, 2016
- 2,536
- 4,621
Hapo vip!
Unajua kujitoa ufahamu kwa kiongozi au uongozi yeyote kwa kuichukia Simba na kufanya vitendo vya chuki na vyakibaguzi ni kuichonganisha na kupanda mbegu za chuki baina ya uongozi wa awamu husika na mashabiki wa Simba ambao ni zaidi ya millioni 40.
Niwambie viongozi wanapo iyona Simba wajue, Simba ni wananchi ambao ni takribani asilimia 60 ya nchi hii na sio wale wachezaji wanaokuja uwanjani.
Pia anajue Simba ilikuwepo kabla ya nchi hii haijazaliwa na yeye pia ameikuta Simba.
PIA SOMA
- Simba yalaani matumizi ya Polisi kuwazuia kufanya mazoezi katika uwanja wa CCM Kirumba kuelekea mchezo wa dhidi ya Pamba
Unajua kujitoa ufahamu kwa kiongozi au uongozi yeyote kwa kuichukia Simba na kufanya vitendo vya chuki na vyakibaguzi ni kuichonganisha na kupanda mbegu za chuki baina ya uongozi wa awamu husika na mashabiki wa Simba ambao ni zaidi ya millioni 40.
Niwambie viongozi wanapo iyona Simba wajue, Simba ni wananchi ambao ni takribani asilimia 60 ya nchi hii na sio wale wachezaji wanaokuja uwanjani.
Pia anajue Simba ilikuwepo kabla ya nchi hii haijazaliwa na yeye pia ameikuta Simba.
PIA SOMA
- Simba yalaani matumizi ya Polisi kuwazuia kufanya mazoezi katika uwanja wa CCM Kirumba kuelekea mchezo wa dhidi ya Pamba