Hizi YouTube channel zinanimalizia bundle langu.

hapo hakuna cha ubest wala nini... nilivoona millard ayo hakuna au hata channel yeyote ya kibongo hakuna list yako nikaipuuza

hatuwezi kuwa tunadanganyana kweupe namna hii katika kipindi hiki kigumu cha lockdown
 
Bigdaws Tv nachekaga sana

MKBHD ni mkali sana when gadgets is a concern

Channels pia za house hunting na luxurious mansions and apartments
 
hapo hakuna cha ubest wala nini... nilivoona millard ayo hakuna au hata channel yeyote ya kibongo hakuna list yako nikaipuuza

hatuwezi kuwa tunadanganyana kweupe namna hii katika kipindi hiki kigumu cha lockdown
ANDREWsoft na Newzfid zote ni za hapahapa bongo.

Katika chennel zote nilizo-subscribe 50% ni za bongo 50% iliyobaki ni kutoka mataifa mengine kama Kenya, UK, USA, UAE, zipo channel nyingi sana. Kama hiyo ya Millard Ayo naifatilia ila ni mara chache sana maana habari nyingi nazipata kwenye account yake ya Instagram. Ni habari chache sana huwa nazifuatilia kwenye YouTube yake.

Hizo za kwenye list ndio kali kwangu maana kuna muda huwa nazifungua kabisa kuangalia kama kuna content mpya ila hizo Millard Ayo, Wasafi Media, Clouds Media mara nyingi huwa naona tu notification ndo nafungua.
 
Bigdaws Tv nachekaga sana

MKBHD ni mkali sana when gadgets is a concern

Channels pia za house hunting na luxurious mansions and apartments
BigDaws TV hatari sana mkuu ila anakaaga muda mrefu bila kupost, nkionaga kimya narudiaga tu kucheki video za zamani. 😂
 
Kama ni watcher mkubwa hivyo chukua Zuku unlimited internet ile ya 100Mbps 200K kwa mwezi funga ndani weka 4K TV kali ya Samsung au LG. Ukirudi home usiku baada ya kazi ukakaa ni dunia nyigine kabisa.
 
Hivi hao ZUKU wanakuunga lile dish lao au waya?
Kama ni watcher mkubwa hivyo chukua Zuku unlimited internet ile ya 100Mbps 200K kwa mwezi funga ndani weka 4K TV kali ya Samsung au LG. Ukirudi home usiku baada ya kazi ukakaa ni dunia nyigine kabisa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wabongo katika kuelezea au kuorodhesha kitu chochote usipotumia lugha ya kingereza unaonekana mshamba . Pia hata muziki na maigizo ukionekana unafatilia za ulaya ndo unaonekana wakisasa. Sio kitu mbaya ila unapodharau vyakwenu unajidharau wewe pia. Tupambane kuvipandisha vibaya vyakwetu viwe bora ili tujivunie kwavyo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sema wako Masaki tu na O'bey. Maeneo mengine bado hiyo huduma
Basi poleni sana wa maeneo mengine, vuta subira lakini wanaexpand kwa speed watawafikia tu. 2020 ni muhimu sana uwe na internet ya uhakika nyumbani 24/7.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…