Hizi zawadi kombe la Mapinduzi ziangaliewe upya

pilau

JF-Expert Member
Joined
Aug 16, 2012
Posts
1,595
Reaction score
451
Ushiriki wa mashindano kombe la Mapinduzi linalofanyika kila mwaka ni wa hiari au lazima .... ?
Mashindano haya ni ya muhimu kuongeoza shamrashamra za kumbukumbu muhimu ya Mapinduzi matukufu na kuonyesha umoja wa watanzania bara na visiwani. Ombi langu bajeti ya sherehe hizi iongezwe kuliko kiwango cha zawadi inayotolewa hivi sasa ...zawadi ya 15m Kwa ushindi wa kwanza na 10m Kwa mshindi wa pili ni ndogo ukilinganisha hadhi ya Mapinduzi na vilabu husika.
 
Mshahara wa mwez mmoja wa kagere ndio anapewa mshindi
 
Mbona mnaifurahia sasa? Leo hii kila shabiki wa Simba anafurahia M.10 yaani imewasahaulisha kichapo aisee. Inatosha hiyo hiyo.
Ha ha ha ha sie tufurahie mshahara wa kagere wakat tunamlipa? Labda tuwaulize kwan nyie mnateseka na simba kufungwa
 
Ndioooomaanaaaayangaaahuuujingaulitushindaaaaaaa
 
Mtani hata kwenye huu uzi unatukamia? Kweli tumewafanya vibaya
Hahahaaa. Jamaaani Mtani. πŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒ

Hata we Mtani nikikuuliza game na Azam na nyie matokeo yalikuwa ngapi ngapi utaniambia tumefungwa lakini tumepata M.10. πŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒ
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…