Elections 2010 Hizo habari mmezihakiki kweli?

Elections 2010 Hizo habari mmezihakiki kweli?

mtambuzi tamba

New Member
Joined
Nov 1, 2010
Posts
1
Reaction score
0
Mimi ni mmoja wa wale ambao tumechoshwa na ufisadi, hivyo napata faraja kubwa sana ninapoona haya matokeo yanayotolewa hapa kuwa mafisadi wanaelekea kupigwa chini. Lakini sasa napatwa na wasiwasi kama hizi habari ni sahihi au ni ushabiki tu wa kisiasa? Kwani naona kama matokeo yanataka kuja kinyume, jamani mnapoandika hizo habari mhakikishe mmezifanyia uhakiki wa kutosha, ili muweze kutupa data zilizo sahihi hasa sisi tuliyopo nje ya nchi.
 
Back
Top Bottom