NALIA NGWENA
JF-Expert Member
- Oct 6, 2016
- 10,587
- 13,425
Boss wa maigizo Fc (kanjibahi) ameahidi kutoa milioni 500 endapo timu itashinda (kufuzu) hatua ya Robo fainali, hii hamasa haina tofauti na mgonjwa aliyekua anaumwa na kukosa dawa hakupewa msaaada Ila baada ya kufa msibani ndugu na jamaa wamechanga pesa kubwa.
Boss (kanjibahi) anajua kucheza na akili za mashabiki walioitwa na Rage Mbumbumbu.
Hoja Yangu: Ina maana pesa za hamasa zipo Ila pesa za usajili hamna!? Au hii hamasa kanjibahi kaitoa kwa kuwa anajua kabisa kolozdad Fc hawatotoboa?!
Boss (kanjibahi) anajua kucheza na akili za mashabiki walioitwa na Rage Mbumbumbu.
Hoja Yangu: Ina maana pesa za hamasa zipo Ila pesa za usajili hamna!? Au hii hamasa kanjibahi kaitoa kwa kuwa anajua kabisa kolozdad Fc hawatotoboa?!