sembo
JF-Expert Member
- May 25, 2011
- 4,350
- 3,451
Pamoja na TFF kuongeza idadi za wachezaji wa kigeni [pro] hadi kufikia saba, kwa gharama hizi ni timu chache sana zinazoweza mudu hiyo idadi.
1. Ada ya kukuza Soka la Vijana.
Kila timu kuanzia sasa inatakiwa kulipga dola 2000 kwa kila pro ili kukuza soka la vijana. Sasa kama timu inao 7, itatakiwa kulipa dola 14.000 ambazo ni zaidi ya Tsh. 32.000.000.
2. Kodi ya Mapato.
Kuanzia msimu huu TRA inaanza kufanya yao katka ada za usajili na mishahara ya pro ambayo ni 18.5% ya kila watakachopokea. Kwa akili ya kawaida tu, kina Okwi, Niyonzima, Kipre na Twite hawatakubali mpunga waliozoea kupokea kupungua hivyo mzigo wote utaenda kwa timu.
3. Kibali Cha Kufanya Kazi Nchini.
Immigration humpa Pro yoyote anayekuja kufanya kazi nchini kibali ada yake ni dola 600 kwa miaka 2. Sasa imagine timu ina pro 7 kocha 2, jumla yao 9 ambapo gharama zao ni dola 5,400 ambazo ni zaidi ya Tsh. 12,420,000 na gharama hizi hulipwa na timu.
My Take:
"Survival of the fittest" ndo mda wake kuchukua nafasi.
1. Ada ya kukuza Soka la Vijana.
Kila timu kuanzia sasa inatakiwa kulipga dola 2000 kwa kila pro ili kukuza soka la vijana. Sasa kama timu inao 7, itatakiwa kulipa dola 14.000 ambazo ni zaidi ya Tsh. 32.000.000.
2. Kodi ya Mapato.
Kuanzia msimu huu TRA inaanza kufanya yao katka ada za usajili na mishahara ya pro ambayo ni 18.5% ya kila watakachopokea. Kwa akili ya kawaida tu, kina Okwi, Niyonzima, Kipre na Twite hawatakubali mpunga waliozoea kupokea kupungua hivyo mzigo wote utaenda kwa timu.
3. Kibali Cha Kufanya Kazi Nchini.
Immigration humpa Pro yoyote anayekuja kufanya kazi nchini kibali ada yake ni dola 600 kwa miaka 2. Sasa imagine timu ina pro 7 kocha 2, jumla yao 9 ambapo gharama zao ni dola 5,400 ambazo ni zaidi ya Tsh. 12,420,000 na gharama hizi hulipwa na timu.
My Take:
"Survival of the fittest" ndo mda wake kuchukua nafasi.