Hizo tozo kwenye umeme nazo zipunguwe walau kwa nusu kama kule kwenye mafuta

Hizo tozo kwenye umeme nazo zipunguwe walau kwa nusu kama kule kwenye mafuta

comte

JF-Expert Member
Joined
Dec 11, 2011
Posts
9,019
Reaction score
6,825
FBcTzBqXsAEwG0y
 
Kwenye huduma za jamii kuweka VAT ni kuwaumiza tu wananchi bila ya sababu.
VAT katika huduma ya maji na umeme ni uonevu.
Nashauri hio VAT iondolewe kwa wananchi wa kawaida labda ibakizwe kwenye sehemu za biashara na viwandani.
 
Kwenye huduma za jamii kuweka VAT ni kuwaumiza tu wananchi bila ya sababu.
VAT katika huduma ya maji na umeme ni uonevu.
Nashauri hio VAT iondolewe kwa wananchi wa kawaida labda ibakizwe kwenye sehemu za biashara na viwandani.
Vipi wanaotumia umeme kufanya biashara nao wasikatwe kodi?
 
Back
Top Bottom