Kwenye huduma za jamii kuweka VAT ni kuwaumiza tu wananchi bila ya sababu.
VAT katika huduma ya maji na umeme ni uonevu.
Nashauri hio VAT iondolewe kwa wananchi wa kawaida labda ibakizwe kwenye sehemu za biashara na viwandani.
Kwenye huduma za jamii kuweka VAT ni kuwaumiza tu wananchi bila ya sababu.
VAT katika huduma ya maji na umeme ni uonevu.
Nashauri hio VAT iondolewe kwa wananchi wa kawaida labda ibakizwe kwenye sehemu za biashara na viwandani.