Abloodi
Senior Member
- Oct 27, 2011
- 165
- 12
Napenda kuchukua nafasi hii kuwa asa wale wote wenye mpango wa kutumia pesa zako katika kuomba mkopo kwenye hii taasisi sjui ya HLSSF Kwa kifupi hawa majamaaa nimatapeli watakulia 30000yako na utambulia ahadi tu. Na website yao inafanya kazi kipindi tu cha ku apply. HAWA HLSSF NI MATAPELI NA SIJUI WIZARA GANI ILIWASAJILI HAWA,.