Hlw...utambulsho plz

Aah wewe hata mange rappa asingekuelewa acha mafumbo bana
...usijikoseshe hivyo,
..hiyo u kwenye 'untunuku' ujue imetumika kama nafsi ya pili umoja!
....nishakupa na desa kabisa,
.gandamizia tu sasa!
 
Hahaa ndio huyo sasa.

Mwenzio shule nilienda kula bajia tu na grubiti.
hahahahaha..,kuna hadi mange rapa?mwee
..afu mbona hakuna fumbo,
.nafsi ya kwanza umoja ni Mimi;ya pili ni Wewe;ya tatu ni Yeye.,
.kwa kidhungu I,You,He/She!
..twisheni ipo Pale Mtini!
 
mwaya karibu sana mgeni.
mie ndo mkaribishaji ngoja nikuitie wanangu wakuletee chai na kashata.
 
Ebo! Mak...da wamekimbilia huku. Njoo uwaone.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…