cutelove
JF-Expert Member
- Oct 3, 2017
- 3,448
- 7,972
Sijawahi kufika kwenye hili jiji la Arusha,nasikia ni Geneva ya Afrika
Kwa gharama zozote zile nataka tarehe 2 January 2020 nitue kwenye jiji hali
Naomba wenyeji wajitokeze pia naomba kufahamu sehemu nzuri za kufikia
Mwezi fulani nilienda Mara kule Tarime nashukuru yule mkaka alinipokea na akawa mwenyeji wangu akanitembeza vijiji vya Nyamwanga,Matongo,na pia yule dada wa makambako alinipokea na akanisindikiza Iringa
Naomba mwenyeji wa Arusha,nina hamu nifike kwenye hili Jiji na nikishafika lazima nifike Moshi pia
Nasikia huko kuna baridi sana kuna haja ya kuvaa sweta au koti au vyote kwa pamoja
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa gharama zozote zile nataka tarehe 2 January 2020 nitue kwenye jiji hali
Naomba wenyeji wajitokeze pia naomba kufahamu sehemu nzuri za kufikia
Mwezi fulani nilienda Mara kule Tarime nashukuru yule mkaka alinipokea na akawa mwenyeji wangu akanitembeza vijiji vya Nyamwanga,Matongo,na pia yule dada wa makambako alinipokea na akanisindikiza Iringa
Naomba mwenyeji wa Arusha,nina hamu nifike kwenye hili Jiji na nikishafika lazima nifike Moshi pia
Nasikia huko kuna baridi sana kuna haja ya kuvaa sweta au koti au vyote kwa pamoja
Sent using Jamii Forums mobile app