Helloooo!
Nimekuwa nachungulia dirishani kwa muda mrefu, sasa nimejiunga rasmi hapa jamvini.Naomba tushirikiane kujenga nchi yetu inayoliwa na mafisadi.
Thanks in advance!
Karibu sana Mkuu, hapa ndiyo JF vigezo na masharti kuzingatiwa.Ukitukana utapigwa ban kama Mwigulu lakini ukiwa unatoa fair comment utaishi kwa amani kama mimi!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.