Hodi hapa jamvini, naungana na JF members kuleta mabadiliko

Hodi hapa jamvini, naungana na JF members kuleta mabadiliko

Raga

Member
Joined
Jul 18, 2013
Posts
46
Reaction score
6
Helloooo!
Nimekuwa nachungulia dirishani kwa muda mrefu, sasa nimejiunga rasmi hapa jamvini.Naomba tushirikiane kujenga nchi yetu inayoliwa na mafisadi.
Thanks in advance!
 
Karibu sana Mkuu, hapa ndiyo JF vigezo na masharti kuzingatiwa.Ukitukana utapigwa ban kama Mwigulu lakini ukiwa unatoa fair comment utaishi kwa amani kama mimi!
 
Last edited by a moderator:
Makala Jr; Ahsante kwa kunikaribisha, uzuri wake mimi na Mwigulu hatuendani tabia hata kidogo.
 
Last edited by a moderator:
Makala Jr; Ahsante kwa kunikaribisha, uzuri wake mimi na Mwigulu hatuendani tabia hata kidogo.
 
Last edited by a moderator:
Mkuu umesomeka vizuri sanaaa.
Karibu sana jamvini
 
Back
Top Bottom