Hodi hodi herufi kubwa hapa

vua VIATU mlangoni na uingie kinyumenyume..
 
Karibu sana

Umekuja kitofauti.

Usisahau kupost kwa herufi kubwa.
 
SAWA MIMI KE JAMANI?
Sawa dada angu kwa jinsi ulivyo na avater (picha ) picha yako nakuona kama mwanafunzi wa kike wa mwaka wa kwanza unaingia wa pili.....if so we are in one road nimekutumia namba angu huko PM nicheki kama ukinijali rafiki.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…