HERUFI KUBWA
JF-Expert Member
- Aug 10, 2017
- 388
- 602
Nimetokea kukupenda mdada...umendatshaSAWA MIMI KE JAMANI?
Sawa dada angu kwa jinsi ulivyo na avater (picha ) picha yako nakuona kama mwanafunzi wa kike wa mwaka wa kwanza unaingia wa pili.....if so we are in one road nimekutumia namba angu huko PM nicheki kama ukinijali rafiki.SAWA MIMI KE JAMANI?
JAMANI KWANINI MACHALE TENA??Lakini miajui kwanini machale yananichezaga tu....
Ila poa tu karibu
Muhenga hamna lililojificha hapo.Lakini misjui kwanini machale yananichezaga tu....
Ila poa tu karibu
Barikiwa sana Comrade.....[emoji13] [emoji13]Muhenga hamna lililojificha hapo.
Tunakamilisha ratiba tu kumkaribisha. [emoji23] [emoji23]
Basi sawa.JAMANI KWANINI MACHALE TENA??